Mawaziri watakaomwangusha JK

kilichonichosha zaidi ni kumpa Kigoda wizara ya viwanda huyu bwana tangu enzi za mkapa ni madudu ma2pu bwana Mwandosya ashajizeekea mpk basi lkn bado anamweka2 eti 'waziri asie na wizara maalum' huyo Selina Kombani ndo kamtwisha U2mishi atauweza?? Sina imani na washauri wake km sio washauri bac mkubwa ujuaji umemzidi aaaaaaagh....!

ndugu yangu umeliona hilo,jamaa ndo alikua kwenye ubinafsishaji huyu,kwakweli ckutegemea UJIO WAKE
 
Wakuu jamaa ndo kamaliza kazi ya kitaifa.Tuangalie watakao mwangusha katika utawala wake wa kumalizia.Nionavyo mm hawa hamna kitu.J. Makamba, A. Malima, Prof. Maghembe,Kawamba, ...Wasira, Mwinyi, Twendelee

David Mathayo,Hawa Ghasia,Selina Kombani,Mary Nagu.
 
Title umekosea, hakuna wa kumwangusha bali jamaa mimi nimebaki namcheka tu hahahahahhahahah maana capacity yake ni ndogo kuwa president alidhani kuna kucheka cheka kumbe lazima uweze ku deliver, umemuona alivyokuwa amekausha koo ? hana hamu ingekuwa ni bar angeishia bila kuaga na bado lazima tummalize hivi hivi anajuta kwa nini alililia urais. ngemwachia Dr. wa ukweli sasa hivi angekuwa anatabasamu na wananchi, sasa hivi JIk anasema tunamwonea watanzania wote eti tumwonee mtu mmoja. hahahahahhahahhahhhahah. So Kajiangusha mwenyewe

Mkuu unachotakiwa kuangalia ni Tanzania yetu, mimi kusema kweli sikuwa na matumaini makubwa na kubadilishwa kwa cabinet au kulifanyia marekebisho. Unajua mpaka sasa watu hawajui ni kwanini JK alitaka kuwa Rais, kilichomfanya atake kuwa rais anakipata au amekipata, sio kile ambacho watanzania tulikitaka. Hakuja kuifanya Tanzania iwe better, kwa hiyo kama wewe unazungumzia kudeliver that is not what is in his mind or his administration's mind, it is may be what you Johnsecond na watanzania wengine are expecting him of. Just think rais anasema "upepo utapita", can you believe statement hii inatoka kwa mkuu wa nchi? anasema wabunge na baadhi ya mawaziri hawana shukrani, what does that mean. Ina maana watu "wanapewa" uwaziri au ubunge kama zawadi? Ukitaka kujua kama sisi watanzania ni wajinga, we will be in this mess till 2015
 
achemshe mara ngapi?tangu anaingia Jk aliishachemsha tayari.kama ni mgonjwa yupo ICU tusubirie tuone kama atapona au laa

Mkuu kwanini usiseme watanzania tumechemsha? nani alimpigia kura JK? ni sisi. Tulikuwa wavivu wa kufikiri, hatukujua what we were getting ourselves to.
 
Hivi hii ya January kuwa Mawasiliano na Dadaye kuwa Top kiongozi wa kampuni ya simu hakuna conflict of interest kweli hapa?
nadhani hili lingeangaliwa kiundani kabisa
 
Prof Muhongo sina wasiwasi naye kabisa, ni mtu wa misimamo, ana exposure ya kutosha na muelewa mzuri wa sekta nzima ya energy na madini
Tatizo ninaloliona ni kuwa, kwa sasa hiyo wizara ni sensitive sana na ina pressure kubwa ya watu wa Kimataifa, hizo pressure zitaenda straight kwa JK na yeye ataingilia maamuzi sahihi ya waziri na kuaribu program nzima ya waziri mahili Prof Muhongo
 
Haya mtabwata sana humu lakini inakuwa kama kilio cha samaki mtake msitake imeshakuwa hivyo, kikubwa ni kujua familia yako inaendelea kivipi Hakuna yeyote anayeweza kuleta miujiza katika nchi hii.(Awe anaeyependa kucheka Hata yule mtaalamu wa kunyang'anya watu wake)
 
2wape muda new mawazil 2one nn they hv 2 offer watanzania
Cha kusubiri ni report ya CAG ya mwakani basi ,maana ofisi nyingi za serikali huwezi kupima utendaji , urasimu ndo umejaa na very poor customer service, wanahitaji training kwa kweli
 
Kisingizio cha 'JK anaangushwa' is sooo stupid and old..kwanini msiwe bold kusema the mkulu is simply and plainly incompetent??
 
Hatuhitaji kusubiri kuona coz wengine wamekuwa serikalini before na hawajafanya lolote zaidi ya kujaza matumbo yao kwa posho na vikao fake! Kwa mfano Shukuru Kawambwa kwa awamu hii ya kwanza amefanya nin? Zaidi ya kufurahia hela ya serikali na familia yake.
 
CCM hakuna kitu. Kikwete kwisha kabisa. Msidanganyike na watu kama Filkunjombe hao ni sparks tu tena za bahati bahati. Ktk bunge la sasa mtu pekee nayeweza kusema amekuwa consistent ni Godfrey Zambi, but so was Mwakyembe b4. Kwa hiyo hawa walioko bench wasiwape tone la matumaini kwa sababu nao ni wachumia tumbo. kwa ufupi sana JK na ccm ni janga kuu la taifa hili. Hili baraza lake nalo ni mkondo huo huo, not part of it but wholesome.

Ingawa sio 100% perfect, lakini wabunge wengi wa CDM wanatoa nuru ya matumaini mema sasa na baadaye. Lakini ukiwaweka ktk mfumo wa ccm nao watakuwa ziro!

Sioni kwanini kuitia hasara nchi namna hii afadhali tungekaa bila hawa mawaziri. Tena kaongeza liability hapa; baraza hili lina mawaziri wawili zaidi kulinganisha na idadi ya awali
 
Jamaa kachemsha in so many ways Mvinyo ule ule kwenye chupa ile ile..., lakini kuna baadhi nadhani watafanya kazi kama Mwinyi hapo juu nadhani ni pazuri (the guy that is his proffession, kule alipokuwa mwanzo ndio palikuwa sio)
 
Baraza la leo JK alikuwa anatangaza msiba wa CCM kabisa, na wafuatao ni janga kwa taifa lakini bado wameendelea kuchomoza kwenye baraza hili la huyu raisi wenu;
  1. Hawa Ghasia,nashindwa kuelewa huyu ana-merits gani kwa JK na serikali yake..naanza kuwa na shaka.
  2. George Mkuchika,huyu jamaa kaacha madudu kule tamisemi sasa kapelekwa kwenda kutengeneza madudu mengine wizara nyingine.
  3. Anna Tibaijuka,huyu mama ni muoga na wamempa wizara nyeti sana kwasasa yenye changamoto nyingi mno hasa za ugawaji wa ardhi kama njugu kwa wawekezaji tazama muziki wa Arumeru Mashariki nk

Nikupe hongera!
Capacity yako wewe kubwa! Kuliko ya Jeikei .
 
JK kachemka kweli naamini pia kama si mbishi katika uteuzi wake basi vyombo vyake vya vetting siyo imara au vimeoza kwa rushwa.Mtu kama Simbachawane George Mbunge (NI ZAIDI YA MCHWA) wa Kibakwe ni totally corrupt rotten .Namkumbuka huyo akiwa bado kwenye Kamati ya LAAC yeye na mtu mmoja Chitalilo walivyokuwa wanalazimisha rushwa toka kwa Wakurugenzi wa Halmashauri ili hoja zao zisikataliwe.Sasa kama amekwenda madini na nishati palipooza kwa rushwa ni balaa sana.Labda Mzee Maswi katibu Mkuu AMDHIBITI,na yeye Simbachwane anajifanya mjuaji sasa sijui uwezo wa Waziri mwenyewe lakini kwa Katibu mkuu Maswi sina shida naye ni kichwa kizuri.SIMBACHWANE SIYO MSAAADA NI ZAIDI YA MCHWA.
Hawa Ghasia siamini kama anauwezo kusimamia TAMISEMI ,JK nafikiri hajui nafasi ya TAMISEMI katika maendeleo ya nchi hii anaweka watu kwa majaribio.GHASIA hana uwezo huo pia PR yake ni ndogo sana kufanya kazi na madiwani,Mayors ,MADED, na watumishi wengi.Ilikuwa nafasi muhimu kumpa promotion Mwanri ambaye kwa kazi kubwa anafahamu vizuri kabisa utendaji wa TAMISEMI
 
Wakuu jamaa ndo kamaliza kazi ya kitaifa.Tuangalie watakao mwangusha katika utawala wake wa kumalizia.Nionavyo mm hawa hamna kitu.J. Makamba, A. Malima, Prof. Maghembe,Kawamba, ...Wasira, Mwinyi, Twendelee

Kwa mtindo huu TZ maendeleo itabidi tusubiri sana mpaka magamba yatakapo pukutika.
 
Back
Top Bottom