Mawaziri Watakaolalamikia OC Ndogo!, Waache Kazi!. Ni Kauli ya Kujenga Nidhamu au Udikiteta Tuu?!.

Marekani na Uingereza zina watu wangapi? Wangapi kati yao wanaongoza? I thought the decision of being in the team is based on compatibility. If you think you are not compatible with his style of leadership why continue working with him? Waafrika wanafiki sana. Tunaponeema hata kama ni kwa hila tunatetea hata kitu haramu. Pale tunapobanwa na wengine kupewa nafasi, basi tunageuka wàandishi na analyst wazuri kwenye mitandao. Tanzania lazima ibadilike....ikibidi aitwe dictator kwa nia njema.na owe hivyo. ..
Hatakuwa mtu wa kwanza anyway

Theodore Roosevelt wakati anawachinjia baharini Standard Oil ili kuondoa monopoly walimuita hivyo hivyo ila aliibadili Marekani. Itakuwa JPM? Nikipata nafasi ya kumwambia ntamwambia aendelee kukaza kamba ili tuanze kutumia vichwa kutumia fursa zilizopo na sio kuiba kwa mlengo wa kuwa mwanasiasa wa chama tawala


Marekani watu hawaruhusiwi kulalamika?
Marekani Rais anaweza kuunda vyombo vya siri kuwarekodi watumishi kisa wanalalamika?
hivi unajua hata why Nixon alijiuzulu?
usijeongea vitu hata wewe huvijui humu ukafikiri kila mtu hajui
 
Mkuu tatizo Katiba inampa Raisi Mamlaka makubwa sana, hakuna aliye juu ya sheria lakini tunahitaji katiba itakayozingatia usawa katika utendaji ikibidi Raisi anapomaliza muda wake pia ashitakiwe au akienda kinyume na katiba bunge linapiga kura ya kutokuwa na imani nae.
 
Nimemsikia kupitia ITV nikabaki mdomo wazi.

Huyu atatusaidia kuibomoa CCM.
CHODOMO KILA MTU NI KAMBALE says DUNI H DUNI...... asante sana kwa kutukumbusha yamemkuta yaliyowakuta kina Kitila, mwigamba, Chacha Wangwe, Kaborou na Zito Kabwe..... ameingia kwenye list ya usaliti kama Dr Slaa!
 
nchi nyingi zilizoendelea zilianza na mfumo wa kidikteta kama hivime #

Kweli. Lakini hawakuwa na kitu kinaitwa demokrasia. Zilianza na huo mfumo bila ya kuwepo na demokrasia; mambo yalipowashinda na wananchi walipozidi kuwa enlightened, wakashusha mikono. Kama tunataka mfumo wa kidikteta, basi tutangazie dunia kwamba hatufuati demokrasia. Kinyume na hapo, hoja yako haina mashiko.

Wasomi wa utawala wanakwambia dictotorship system inaruhusiwa kutumika endapo demokrasia inazuia maamuzi ya haraka na kupoteza muda.

Weka ushahidi wa unachokisema. Leta angalau machapisho mawili ya wasomi wa utawala wanaosema hivyo.
 
Wanabodi,

Nimewahi kuzungumzia baadhi ya kauli za rais wetu Mhe. Dr. John Pombe Magufuli kuwa ni kauli za vitisho, kibabe na kidikiteta, ambapo kauli ya leo ni hii ya kuwatisha baadhi ya mawaziri na makatibu watakaosika kulalamikia fedha za ndogo za OC (other charges) zinazopelekwa kwenye wizara zao ni ndogo na hazitoshi!, amewaambia wale wotewanaoona fedha wanazopewa ni ndogo na haziwatoshi, waache kazi!, amesema kuna watu wanalalamika!, anasema ametuma 'watu' wawarekodi walalamika hao, akipata tuu ushahidi, kuwa ni kweli wanalalamika, then atawatimua kazi!.

Hili limekaaje?!. Hii sio kauli ya vitisho, kuwa watendaji hawa wakuu?!, yaani kiasi chochote watakachopewa na serikali, no matter ni kidogo kiasi gani, hawaruhusiwi kucomment chochote bali wapokee na kunyamaza kimya!.

Huku si ni kuwafunga midomo mawaziri na makatibu wakuu wao?!, kitendo cha rais kesema amewatumia 'watu' wawarekodi, ni uthibitishoa usiotia shaka kuwa freedom of "expression is at crossroad!". Hii inaitwa suppressing opinion za mawaziri, makatibu wakuu na watendaji wakuu, ambazo ndizo hatua za awali za viongozi wote madikiteta duniani, hutoa kauli za kuwafanya waogopwe!. Ukiona mwenzako ananyolewa, wewe anza kutia maji tia maji, stage ya pili haiwezi kuwa ni kwenye media?!.

Tanzania yetu hii kusema ukweli madudu yalizidi, kiasi kwamba tukafika mahali nchi yetu ilihitaji kiongozi mwenye traits za udikiteta ili mambo yaende!. Mungu kasikia kilio cha Watanzania, katupatia rais Dr. John Pombe Magufuli, ambaye ni benevolent dictator, Watanzania tupewe nini tena?!.

Pasco
Kwanini ulalamike pembeni kama mjinga, kama OC ndogo mfate rais moja kwa moja......
Hapo hamna udikteta
Anawafundisha wawe wakweli kuliko kulilia pembeni huku wakikutana na Rais wanamchekea tu
 
Taifa la watu milioni 50 leo linaendeshwa na akili za mtu mmoja
na wasio ridhika hawatakiwi hata kusema tu

Ndo maana wenzetu nchi zilizoendelea walishaliona hili
hatari za kuendeshwa na mtu mmoja

wakaweka mfumo wa kuhakikisha mawazo ya mtu mmoja peke yake hayaendeshi nchi
Tupe faida za taifa kuendeshwa na akili za watu wengi...tumia miaka 10 iliyopita kama point of reference
 
Marekani watu hawaruhusiwi kulalamika?
Marekani Rais anaweza kuunda vyombo vya siri kuwarekodi watumishi kisa wanalalamika?
hivi unajua hata why Nixon alijiuzulu?
usijeongea vitu hata wewe huvijui humu ukafikiri kila mtu hajui
Kama una ndoto za MH.JPM kujiuzulu kisa amemtegea kinasa Sauti Mwigulu nchemba na Makamba sahau.
 
Wanabodi,

Nimewahi kuzungumzia baadhi ya kauli za rais wetu Mhe. Dr. John Pombe Magufuli kuwa ni kauli za vitisho, kibabe na kidikiteta, ambapo kauli ya leo ni hii ya kuwatisha baadhi ya mawaziri na makatibu watakaosika kulalamikia fedha za ndogo za OC (other charges) zinazopelekwa kwenye wizara zao ni ndogo na hazitoshi!, amewaambia wale wotewanaoona fedha wanazopewa ni ndogo na haziwatoshi, waache kazi!, amesema kuna watu wanalalamika!, anasema ametuma 'watu' wawarekodi walalamika hao, akipata tuu ushahidi, kuwa ni kweli wanalalamika, then atawatimua kazi!.

Hili limekaaje?!. Hii sio kauli ya vitisho, kuwa watendaji hawa wakuu?!, yaani kiasi chochote watakachopewa na serikali, no matter ni kidogo kiasi gani, hawaruhusiwi kucomment chochote bali wapokee na kunyamaza kimya!.

Huku si ni kuwafunga midomo mawaziri na makatibu wakuu wao?!, kitendo cha rais kesema amewatumia 'watu' wawarekodi, ni uthibitishoa usiotia shaka kuwa freedom of "expression is at crossroad!". Hii inaitwa suppressing opinion za mawaziri, makatibu wakuu na watendaji wakuu, ambazo ndizo hatua za awali za viongozi wote madikiteta duniani, hutoa kauli za kuwafanya waogopwe!. Ukiona mwenzako ananyolewa, wewe anza kutia maji tia maji, stage ya pili haiwezi kuwa ni kwenye media?!.

Tanzania yetu hii kusema ukweli madudu yalizidi, kiasi kwamba tukafika mahali nchi yetu ilihitaji kiongozi mwenye traits za udikiteta ili mambo yaende!. Mungu kasikia kilio cha Watanzania, katupatia rais Dr. John Pombe Magufuli, ambaye ni benevolent dictator, Watanzania tupewe nini tena?!.

Pasco
Dictator gani? Rais Nagufuli anaangalia hali za wanyonge walionyonywa kwa miaka mingi na baadhi Watanzania wenzao waliopewa dhamana ya uongozi na vyeo serikalini! Wenye vyeo na madaraka nchi hii wanadhani ni haki yao wao tu kupata mapande makubwa ya keki ya taifa na waliobaki waambulie crumbs tu! OC ya kazi gani wakati mtu analipwa mshahara? Acheni mambo yenu ya kujiona bora na mna haki kuliko wengine kwa sababu tu ya vyeo mlivyonavyo. Kuweni na huruma angalieni maisha ya Watanzania wenzenu. Lol!
 
Wanabodi,

Nimewahi kuzungumzia baadhi ya kauli za rais wetu Mhe. Dr. John Pombe Magufuli kuwa ni kauli za vitisho, kibabe na kidikiteta, ambapo kauli ya leo ni hii ya kuwatisha baadhi ya mawaziri na makatibu watakaosika kulalamikia fedha za ndogo za OC (other charges) zinazopelekwa kwenye wizara zao ni ndogo na hazitoshi!, amewaambia wale wotewanaoona fedha wanazopewa ni ndogo na haziwatoshi, waache kazi!, amesema kuna watu wanalalamika!, anasema ametuma 'watu' wawarekodi walalamika hao, akipata tuu ushahidi, kuwa ni kweli wanalalamika, then atawatimua kazi!.

Hili limekaaje?!. Hii sio kauli ya vitisho, kuwa watendaji hawa wakuu?!, yaani kiasi chochote watakachopewa na serikali, no matter ni kidogo kiasi gani, hawaruhusiwi kucomment chochote bali wapokee na kunyamaza kimya!.

Huku si ni kuwafunga midomo mawaziri na makatibu wakuu wao?!, kitendo cha rais kesema amewatumia 'watu' wawarekodi, ni uthibitishoa usiotia shaka kuwa freedom of "expression is at crossroad!". Hii inaitwa suppressing opinion za mawaziri, makatibu wakuu na watendaji wakuu, ambazo ndizo hatua za awali za viongozi wote madikiteta duniani, hutoa kauli za kuwafanya waogopwe!. Ukiona mwenzako ananyolewa, wewe anza kutia maji tia maji, stage ya pili haiwezi kuwa ni kwenye media?!.

Tanzania yetu hii kusema ukweli madudu yalizidi, kiasi kwamba tukafika mahali nchi yetu ilihitaji kiongozi mwenye traits za udikiteta ili mambo yaende!. Mungu kasikia kilio cha Watanzania, katupatia rais Dr. John Pombe Magufuli, ambaye ni benevolent dictator, Watanzania tupewe nini tena?!.

Pasco
Kwa hakika tumechelewa sana kumpata Rais kama huyu, a benevolent dictator! Nchi yetu ilipofikia; kutokana na kansa ya kuchekacheka kwenye mambo ya msingi na simulizi za matezi dume JNIA! Huyu ni Rais transformational ambae nchi inamuhitaji sana kutukwamua.
 
Back
Top Bottom