mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,377
- 3,825
Naibu katibu mkuu wa umoja wa Mataifa amerudi rasmi nchini na kuahidi kwenda kuripoti Chuo kikuu cha Dar es Salaam
Maprofesa kama Magemde waige mfano wa Rose ili waepuke kuaibishwa bungeni. Hawa wasomi wanahitajika sana kutoa utaalamu wao na sio siasa uchwara tu kwa kutaka pesa.
Maprofesa kama Magemde waige mfano wa Rose ili waepuke kuaibishwa bungeni. Hawa wasomi wanahitajika sana kutoa utaalamu wao na sio siasa uchwara tu kwa kutaka pesa.