Lukuvi alitaka kuchafua hali ya hewa alimnukuu vibaya filikunjombe na Fnjombe akamuumbua kwamba sijasema mawaziri wote bali mawaziri wengi ni wezi na ushaidi ninao
hapa nafikia sehemu na kuamini kuwa hii nchi haitapiga hata hatua kama tutabakia kuendekeza huu ujinga.Tatizo la Lukuvi ni kilaza na amepewa nafasi hii kwa upendeleo baada ya mke wake Gemina Lukuvi kumbembeleza sana JK amsaidie mume wake.