Gwankaja Gwakilingo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 1,996
- 615
Inahitaji uwe na akili ya marehemu ili uweze kuyasikia ya serikali ya Tanzania
Kwani usibitisho wa Lema walisha usoma....kama bado wausome kwanza wa Lema ndiyo waombe mwingine
Nilishamwona muda mrefu huyu Kijana Filikunjombe uwezo wake, uchungu kwa wapiga kura wake na kwa taifa. Hapa JF mmenishambulia kwa sana tu kuhusu mbunge huyu, na leo wenyewe mnaona alivyo mtetezi mkubwa ndani ya bunge bila kujali itikadi za kichama.
Juzi tu nilifanya utalii Mkoa mpya wa Njombe, tofauti ya majimbo ya uchaguzi yanayoongozwa na wabunge wa CCM Njombe Kusini la Spika Anna makinda na la Ludewa la Filikunjombe utaona tofauti kubwa. Kijana kaanza juzi tu barabara zinaakisi kushughulikiwa tofauti na kwa Makinda. Stand ya mabasi Njombe ikinyesha mvua ni matope na kukiwa Jua ni jangwa la vumbi unatakiwa vaa kitambaa na maski vinginevyo mafua yatakuanzia hapo hapo uwanjani.
Tuachane na ushabiki, Kijana Filikunjombe yuko Mtanzania halisi asiye mbinafsi na mwoga na anayejali utaifa na ni mzalendo wa kweli. Hawa ndio tunaowataka na kesho wakiamua kujing'oa CCM na kujiunga na kambi ya akina Tundu Lisu, ndo kasi ya maendeleo ya nchi yetu itakavyopiku mataifa yote ya afrika mashariki.
kuna mahali nimeona post yako kuwa uko USA kwa obama na kuwa ndege iliingia mushikeli...vipi mkuu usharudi
Kwa kuwa speaker ubongo ni matape ataharishe Bunge kama kawaida yake, she can't deal with isssuesLukuvi ememtaka Mh Filikunjombe athibitishe kauli yake kuwa mawaziri Wengi ndio wanaoongoza kwa kuitafuna nchi hii. Filikunjombe kasema yupo tayari kufanya hivyo, je tutegemee nini toka kwa serikali yetu inayovuliwa nguo hata na wabunge Wa CCM?
kuna mahali nimeona post yako kuwa uko USA kwa obama na kuwa ndege iliingia mushikeli...vipi mkuu usharudi
Kwani usibitisho wa Lema walisha usoma....kama bado wausome kwanza wa Lema ndiyo waombe mwingine
TZ kila raia anasafiri kwenye mtandao hapa mi naelekea kwa syria huko
Huyu lukuvi vip? si asuburi watajwe kwa nini anataka kuwalinda,huwa wanamgawia nini?[/QUOTE]
Naye anaweza akawa ni mmoja wao kwa hiyo anajilinda
Lukuvi ememtaka Mh Filikunjombe athibitishe kauli yake kuwa mawaziri Wengi ndio wanaoongoza kwa kuitafuna nchi hii. Filikunjombe kasema yupo tayari kufanya hivyo, je tutegemee nini toka kwa serikali yetu inayovuliwa nguo hata na wabunge Wa CCM?