Tatizo yuko na wachafu.... hili ni jembe iko siku litakuja home...
Ni yaleyaleeeee ya vasco dagama.Wadau,nipo bungeni. Mbunge Filikunjombe amemwambia Naibu Spika kuwa anawasilisha orodha ya mawaziri wote wezi wa mali ya umma. Tunaisubiri orodha hiyo kuanzia jioni ya leo!! Haki ya Mungu ukombozi tayari!!!!
Lukuvi ememtaka Mh Filikunjombe athibitishe kauli yake kuwa mawaziri Wengi ndio wanaoongoza kwa kuitafuna nchi hii. Filikunjombe kasema yupo tayari kufanya hivyo, je tutegemee nini toka kwa serikali yetu inayovuliwa nguo hata na wabunge Wa CCM?
Huyu lukuvi vip? si asuburi watajwe kwa nini anataka kuwalinda,huwa wanamgawia nini?