KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Mbunge huyo ametakiwa athibitishe kauli yake na naibu spika.
Lukuvi amemtaka Mh Filikunjombe athibitishe kauli yake kuwa mawaziri Wengi ndio wanaoongoza kwa kuitafuna nchi hii.
Filikunjombe kasema yupo tayari kufanya hivyo, je tutegemee nini toka kwa serikali yetu inayovuliwa nguo hata na wabunge Wa CCM?