Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Malecela peke yake ndie aliyekuwa makini
Yap Ive said it sasa wasiopenda kanyweni sumu
Huyo CHIGWIYEMISI aliyewaambia watu watunze pumba halafu zitawafaa wakati wa njaa ndo kabisaaa, ndo maana hata urais wenzio wameona hafai.