MawazoMatatu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2008
- 505
- 61
Gazeti la Mwananchi la leo limepambwa na habari za mawaziri wakuu wastaafu wawili wa jamuhuri yetu ambao kwa nyakati tofauti wamezungumzia matatizo yanayoikumba Taifa letu.
Mawaziri wakuu hao wastaafu ni Jaji Joseph Warioba na Dr. Salim A Salim.
Ingawa vichwa vya habari ni tofauti lakini ukizisoma habari hizo utakuta wanazungumzia kitu kimoja nacho ni ombwe la kiuongozi ambalo hata sisi humu tumekua tukilijadili sana.
Pengine inaweza ikawa ni utaratibu wa kawaida kwa awamu hii ya uongozi (ya Nne) kwa viongozi wastaafu kuikosoa serikali tofauti na awamu zingine huko nyuma lakini hili la Dr Salim kuuvunja ukimya wake wa muda mrefu kidogo imenifanya nifikilie mambo mengi!
Je wachunguzi wa mambo ya Kisiasa hili lina tafsili gani? Je linaweza kuwa na uhusiano wowote na uchaguzi mkuu wa 2010? Tujadili..!
Mawaziri wakuu hao wastaafu ni Jaji Joseph Warioba na Dr. Salim A Salim.
Ingawa vichwa vya habari ni tofauti lakini ukizisoma habari hizo utakuta wanazungumzia kitu kimoja nacho ni ombwe la kiuongozi ambalo hata sisi humu tumekua tukilijadili sana.
Pengine inaweza ikawa ni utaratibu wa kawaida kwa awamu hii ya uongozi (ya Nne) kwa viongozi wastaafu kuikosoa serikali tofauti na awamu zingine huko nyuma lakini hili la Dr Salim kuuvunja ukimya wake wa muda mrefu kidogo imenifanya nifikilie mambo mengi!
Je wachunguzi wa mambo ya Kisiasa hili lina tafsili gani? Je linaweza kuwa na uhusiano wowote na uchaguzi mkuu wa 2010? Tujadili..!
Last edited: