Pia ningemshauri mheshimiwa waziri achukue darasa la Kiingereza na Public speech. He is lacking in both.
Kamala,
Afadhali umeamua kusoma PhD nyingine; hiyo uliyonayo ni batili ... List of unaccredited institutions of higher learning - Wikipedia, the free encyclopedia
Mwawado,Mkuu sio Speech tu....Huyu Bwana Mkubwa kamala mambo haya yakiendelea yatamuweka wazi,Nilishindwa kuelewa kabisa ilikuwaje akapata nafasi hii ya Uongozi,Ni mgumu kujieleza hata kwa Resume yake mwenyewe,Kuna ziara walifanya US wakiandamana na Chiligati,Masha,Nchimbi na RC Kandoro,alishindwa kabisa kujieleza,Nilipata Mshtuko kuona kuwa inakuwaje Viongozi wanakuja kwenye Mikutano na wanakuwa hawajajajiandaa kabisa,inatudhalilisha kwa hawa wanaoandaa hii mikutano,na matatizo ya kiongozi mmoja yanatoa picha ya anaowawakilisha...
Hapo kwenye kiingereza, jamani watanzania tuna tatizo tupende tusipende. Elimu tunaweza kuwa nayo ila lugha ya malkia inautata. Nilishuhudia phd defence ya mtz ambaye nilikua nam-admire academically kumbe kuunganisha sentensi zilizonyooka kwa mtiririko ni taabu nikabaki kusinyaa kwenye kiti kwa niaba yetu sote. Saa nyingine wa-KE wakitusema kuna kaukweli
Professor Mayunga Nkunya, kiongozi waTanzania Commission for Universities anasema hawa wenye vyeti feki feki wamekuwa "trapped." Hawakupata "ushauri wetu."
Sio kosa lao!
So, what you got here, is a kilaza professor leading a battle against vilaza scholars.
Mke wa mangi(Nkamangi),
Mimi sioni shida mtu kama hawezi kuzungumza kiingereza hata kidogo awe na pHD ama bachelor. Mimi nadhani ni sisi watanzania tu tunataka kuzungumza kiingereza kama waingereza, jamani tembeeeni muone
Nenda Poland, France, Ujerumani, Denmark, Sweden, Russia na nchi nyingine za ulaya na hata zilizokaribu na uingereza, wanazungumza kiingereza kibaya kuliko hata sisi na wala hawajisikii vibaya maana watakuambia its not our first language. Wala hawatumii nguvu nyingi kujifunza maana anakuambia akiweza tu kupeleka ujumbe aliokusudia unatosha.
Lakini napata shida saaaaaaaaaaaana ninapoona mtu anaongea kiswahili broken. Mbona hamjivunii kuongea kiswahili safi kuliko swahili speakers wengine? Wakenya kweli wanatucheka maana wao wako better-off ukilinganisha nasi, lakini wanakiri sisi tuko mbali zaidi yao kwa kiswahili tena lugha yetu sisi waafrika.
Je lini tutajivunia lugha yetu kiswahili? Ni kwanini tunaabudu vya kizungu????
Kinachoniudhi zaidi unakutana na mmbongo huku ugaibuni bado anakusemesha kwa lugha ya wenyeji wakati tunaweza kuzungumza kiswahili saaaaaafi.....
Kidumu Kiswahili, Idumu lugha yetu ya kiafrica idumu lugha yetu ya Taifa
Nani kakupa mamlaka hayo?Waandishi si fuatilieni NARIC na kujua ukweli wote?
Baada ya ile thread ya Mzumbe jamaa kakomalia kusafisha PhD yake huko? Huyu jamaa naona anapenda kuitwa Doctor of philosophy lakini naona ataishia na MPhil.Kwa vyovyote vile nashindwa kuelewa uamuzi wake wa kufanya PhD nyingine MU. Kama kweli Kamala anaamini PhD yake ni safi (genuine) kwa nini anaanza kufanya nyingine haraka haraka? Kwa mtu anayejua PhD nini, sioni kama anaweza kukimbilia chuoni kusoma tena akiwa na majukumu makubwa kama ya uwaziri! Hapa anatuongezea mashaka juu ya shule yake. Uwezo wake naukubali toka akiwa sekondaru ila sijamwelewa na inanipa shida kuamini kwa nini aliamua kutafuta PhD ya dezo ambayo sasa inamwingiza kwenye kashfa!
Mke wa mangi(Nkamangi),
Mimi sioni shida mtu kama hawezi kuzungumza kiingereza hata kidogo awe na pHD ama bachelor. Mimi nadhani ni sisi watanzania tu tunataka kuzungumza kiingereza kama waingereza, jamani tembeeeni muone
Nenda Poland, France, Ujerumani, Denmark, Sweden, Russia na nchi nyingine za ulaya na hata zilizokaribu na uingereza, wanazungumza kiingereza kibaya kuliko hata sisi na wala hawajisikii vibaya maana watakuambia its not our first language. Wala hawatumii nguvu nyingi kujifunza maana anakuambia akiweza tu kupeleka ujumbe aliokusudia unatosha.
Lakini napata shida saaaaaaaaaaaana ninapoona mtu anaongea kiswahili broken. Mbona hamjivunii kuongea kiswahili safi kuliko swahili speakers wengine? Wakenya kweli wanatucheka maana wao wako better-off ukilinganisha nasi, lakini wanakiri sisi tuko mbali zaidi yao kwa kiswahili tena lugha yetu sisi waafrika.
Je lini tutajivunia lugha yetu kiswahili? Ni kwanini tunaabudu vya kizungu????
Kinachoniudhi zaidi unakutana na mmbongo huku ugaibuni bado anakusemesha kwa lugha ya wenyeji wakati tunaweza kuzungumza kiswahili saaaaaafi.....
Kidumu Kiswahili, Idumu lugha yetu ya kiafrica idumu lugha yetu ya Taifa
Mke wa mangi(Nkamangi),
Mimi sioni shida mtu kama hawezi kuzungumza kiingereza hata kidogo awe na pHD ama bachelor. Mimi nadhani ni sisi watanzania tu tunataka kuzungumza kiingereza kama waingereza, jamani tembeeeni muone
Nenda Poland, France, Ujerumani, Denmark, Sweden, Russia na nchi nyingine za ulaya na hata zilizokaribu na uingereza, wanazungumza kiingereza kibaya kuliko hata sisi na wala hawajisikii vibaya maana watakuambia its not our first language. Wala hawatumii nguvu nyingi kujifunza maana anakuambia akiweza tu kupeleka ujumbe aliokusudia unatosha.
Lakini napata shida saaaaaaaaaaaana ninapoona mtu anaongea kiswahili broken. Mbona hamjivunii kuongea kiswahili safi kuliko swahili speakers wengine? Wakenya kweli wanatucheka maana wao wako better-off ukilinganisha nasi, lakini wanakiri sisi tuko mbali zaidi yao kwa kiswahili tena lugha yetu sisi waafrika.
Je lini tutajivunia lugha yetu kiswahili? Ni kwanini tunaabudu vya kizungu????
Kinachoniudhi zaidi unakutana na mmbongo huku ugaibuni bado anakusemesha kwa lugha ya wenyeji wakati tunaweza kuzungumza kiswahili saaaaaafi.....
Kidumu Kiswahili, Idumu lugha yetu ya kiafrica idumu lugha yetu ya Taifa
Nani kakupa mamlaka hayo?
Fuatilia wewe umwage data hapa......
arrg kutoa link ndio umefuatilia? wewe vipi aisee?Hivi hata kama huna cha kuongeza kwenye mjadala lazima uandike?
Kama hutaki link niliyotoa lala mbele, toka lini kutoa link au kuwaambia waandishi wafuatilie kunahitaji authority?
Mi nafikiri huku si kudefend ila ni kutolea maelezo, kudefend alitakiwa kuomba "Viva" TCU. Yaani asubmit thesis yake TCU halafu wakamu examine in form of interview. Akiweza kutoa maelezo ya kuridhisha na wakayakubali na kumtambua hapo atakuwa amedefend PhD
I dont think kama TCU ni academis institution ambayo inaweza kukupa PhD. Kwani sio chuo. Je iwe kwa akila aliyepata Shahada nje a defend Thesis TCU?Angetoa maelezo na ikiwezekana kama msomi basi hata aelezee kwa kina alifanya utafiti juu ya nini na na wapi. Hata aoneshe Real Thesis. Na utendaji wake uonekane kama msomi sio kukurukupuka tu na majibu ya kisiasa na ujanjaujanja tu.
Mke wa mangi(Nkamangi),
Mimi sioni shida mtu kama hawezi kuzungumza kiingereza hata kidogo awe na pHD ama bachelor. Mimi nadhani ni sisi watanzania tu tunataka kuzungumza kiingereza kama waingereza, jamani tembeeeni muone
Nenda Poland, France, Ujerumani, Denmark, Sweden, Russia na nchi nyingine za ulaya na hata zilizokaribu na uingereza, wanazungumza kiingereza kibaya kuliko hata sisi na wala hawajisikii vibaya maana watakuambia its not our first language. Wala hawatumii nguvu nyingi kujifunza maana anakuambia akiweza tu kupeleka ujumbe aliokusudia unatosha.
Lakini napata shida saaaaaaaaaaaana ninapoona mtu anaongea kiswahili broken. Mbona hamjivunii kuongea kiswahili safi kuliko swahili speakers wengine? Wakenya kweli wanatucheka maana wao wako better-off ukilinganisha nasi, lakini wanakiri sisi tuko mbali zaidi yao kwa kiswahili tena lugha yetu sisi waafrika.
Je lini tutajivunia lugha yetu kiswahili? Ni kwanini tunaabudu vya kizungu????
Kinachoniudhi zaidi unakutana na mmbongo huku ugaibuni bado anakusemesha kwa lugha ya wenyeji wakati tunaweza kuzungumza kiswahili saaaaaafi.....
Kidumu Kiswahili, Idumu lugha yetu ya kiafrica idumu lugha yetu ya Taifa