Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Naona watu wana mis-interpret the whole thing about collective responsibility.Collective responsibility siyo kulindana, wala siyo kuficha uovu.
Collective responsibility ni baraza zima la mawaziri kufanya kazi kama kitu kimoja.It is more about waziri ambaye hajafanya makosa kukubali makosa yaliyofanya na waziri mwingine kwa sababu yeye ni member wa cabinet than waziri asiyefanya makosa kumlinda waziri aliyefanya makosa.Kwa hiyo kwa msingi huu utaona "collective responsibility" haina chembe ya kulindana.Ina lengo ya kupalilia efficiency ya baraza zima la mawaziri as opposed to the fragmented farce we currently have.
On the other hand, collective responsibility ina demand integrity ya hali ya juu kiasi kwamba ukiona baraza la mawaziri hali respond kwako, na jinsi wewe unavyoona sawa, unajiuzulu ili upate uwezo wa kusema vizuri maana kuna mambo mengi utashindwa kusema kutokana na kubanwa na hii collective responsibility.
Kwa hiyo Magufuli aache siasa za populism, afuatishe utaratibu na kutatua matatizo au kama anataka kublast ajiuzulu uwaziri abakie mbunge backbencher ataweza kusema vizuri sana.Maana kama nilivyosema mwanzo, kwenye moshi panafuka moto.Inaonekana hii ni tip of the iceberg tu, kwa hiyo muheshimiwa kama kweli ana nia ya kupasua jipu aondoe uvivu na uoga wa kupoteza privileges za uwaziri.Ajiuzulu, ajiunge na ma backbenchers na hapo anaweza kusema bila kufungwa na collective responsibility ya cabinet, maana atakuwa nje ya cabinet.
Collective responsibility ni baraza zima la mawaziri kufanya kazi kama kitu kimoja.It is more about waziri ambaye hajafanya makosa kukubali makosa yaliyofanya na waziri mwingine kwa sababu yeye ni member wa cabinet than waziri asiyefanya makosa kumlinda waziri aliyefanya makosa.Kwa hiyo kwa msingi huu utaona "collective responsibility" haina chembe ya kulindana.Ina lengo ya kupalilia efficiency ya baraza zima la mawaziri as opposed to the fragmented farce we currently have.
On the other hand, collective responsibility ina demand integrity ya hali ya juu kiasi kwamba ukiona baraza la mawaziri hali respond kwako, na jinsi wewe unavyoona sawa, unajiuzulu ili upate uwezo wa kusema vizuri maana kuna mambo mengi utashindwa kusema kutokana na kubanwa na hii collective responsibility.
Kwa hiyo Magufuli aache siasa za populism, afuatishe utaratibu na kutatua matatizo au kama anataka kublast ajiuzulu uwaziri abakie mbunge backbencher ataweza kusema vizuri sana.Maana kama nilivyosema mwanzo, kwenye moshi panafuka moto.Inaonekana hii ni tip of the iceberg tu, kwa hiyo muheshimiwa kama kweli ana nia ya kupasua jipu aondoe uvivu na uoga wa kupoteza privileges za uwaziri.Ajiuzulu, ajiunge na ma backbenchers na hapo anaweza kusema bila kufungwa na collective responsibility ya cabinet, maana atakuwa nje ya cabinet.