Kwa sasa wimbo ni awamu ya Maige na Ngeleja kuhusu ubadhirifu wa mali ya watanzania. Hivi walioondoshwa last time hakuna aliyehujumu zaidiya Yona na Mramba?
Akina Masha je???? hili ni wazo langu tu kwani naona hata Blandina Nyoni hakumbukwi tena. Tunataka tujue kama Takukuru inafatilia ama vipi.
Tusaidiane kuibua uovu
Akina Masha je???? hili ni wazo langu tu kwani naona hata Blandina Nyoni hakumbukwi tena. Tunataka tujue kama Takukuru inafatilia ama vipi.
Tusaidiane kuibua uovu