Kimilidzo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 1,346
- 613
Nyie wabongo hamueleweki, ukiletewa habari kavukavu utauliza source, ukiletewa live from the source napo mnaibua hoja. Habari zisipokuja humu ndani tutakosa burudani jamani, tuache watu waweke kila wanachokiaminiIts ok, but sithani kama kukopi na kupest habari za magazitini kama zilivyo ni sahihi kwenye JF