Mpevu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,805
- 173
Nadhani mkwele hakuwa na rafiki wa maana, team zake huwa ni mbovu saaana. Ebu angalia wale wachache ambao hata kuwabeba mara ya pili akashindwa akina Masha na Kamala, du vi phd vya uswazi. Unajua watu hawajui kuwa elimu ni kile kilichobaki kichwani sio vyeti ulivyobeba.
Mkuu,
kwa uliyoyaangalizia hapo kwenye red...KIUKWELI UMENIKUNA, ni ukweli usiopingika abadan.