Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Nimegundua kuwa mawaziri wa JK huwezi kutuliza akili ukawasikiliza kabisa. Kwanza hawako connected wanapoanza kutoa hotuba zao, yaani namaanisha akisema kitu kimoja hafikishi mwisho anaanza kingine na harudi tena nyuma na huko nako anakoendelea nako hamalizi.
Kwa mfano jana nilikaa kumsikiliza Mayige, jamani kama vile anaongea na watu wasio na upeo, kuna kitu alisema nikawa interested kumsikiliza kuwa ugumu wa maisha wa mtanzania unasababishwa na vitu viwili vikubwa cha kwanza umeme, hakutaja cha pili akaonekana anaongea mambo mengine ambayo hata hakupanga yaani kama vile mtu anayeongea na watu ambao wamejiotokeza ghafla hakuwa na agenda wala nini. CV please.
shame.
Kwa mfano jana nilikaa kumsikiliza Mayige, jamani kama vile anaongea na watu wasio na upeo, kuna kitu alisema nikawa interested kumsikiliza kuwa ugumu wa maisha wa mtanzania unasababishwa na vitu viwili vikubwa cha kwanza umeme, hakutaja cha pili akaonekana anaongea mambo mengine ambayo hata hakupanga yaani kama vile mtu anayeongea na watu ambao wamejiotokeza ghafla hakuwa na agenda wala nini. CV please.
shame.