KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nijambo linaloshangaza kuona mawaziri wa serikali moja,chama kimoja wakianikana hadharani!
Kitendo cha Mh Samwel Sitta kumpinga Waziri Ngereja kinaonyesha Ujasiri wa Sitta aliokuwanao katika medani ya siasa Nakinaonyesha Dowans si kampuni halali hivyo haikupaswa kulipwa!Na inaonyesha mwanasheria wa serikali ni mla rushwa kwakushindwa kusimamia ofisi yake!!
Kitendo cha Mh Samwel Sitta kumpinga Waziri Ngereja kinaonyesha Ujasiri wa Sitta aliokuwanao katika medani ya siasa Nakinaonyesha Dowans si kampuni halali hivyo haikupaswa kulipwa!Na inaonyesha mwanasheria wa serikali ni mla rushwa kwakushindwa kusimamia ofisi yake!!