Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,270
- 16,286
<br />Kikwete! Serikali yake hawezi leta mvua! Lol!
<br />
HEHEEE SIJAONA HATA MMOJA WA KUPONGEZA WAO BADO WANAPOKEZANA KWENYE MICHAKATO,LINI WATAFANYA KITU CHA UKWELI! POROJO TUUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Kikwete! Serikali yake hawezi leta mvua! Lol!
Jeremia sumari-arumeru mashariki is the worsiest mp
Shibuda ni Waziri. We are talking about ministry.
<br />hapo kwa Shibuda umenikumbusha siku anambishia waziri kwamba badala ya posho aseme ujira wa wmiha!
<br /><font color="#008000">Wassira ameshasema tatizo ni vidonge!!!!!!!!!!!!!!</font>
<br />bila kumsahau yule mama wa viti maalumu wa Bariadi, aliyechangia wizara ya maji yaani lile ni bomuuuuuuuuuuuuu.... aliaibisha sijui kigezo gani kilimuweka pale! na amechangia mara moja upupu wake ule! utaratibu ubadilike wa kutoa posho, naona wapewe wale wanaoenda bungeni na kuchangia tu!
<br /><br /><br />
<br /><br />
VYA?????????? HAYO MAFUA HAYAISHI??????
naomba ueleze udhaifu wa uongozi sio ushabiki, hivi wasira amelala mara ngapi? zitaje.Wasira ana hasira sana na ameongoza kwa kulala,pia hawa ghasia kwenye suala la uwazi kwenye mishahara hajafanya vizuri
we tueleze sokwe ni nani?Ngeleja,Sokwe,Kombani,Nundu,Lukuvi,!Kwanza wote ovyo kabisa,sina haja ya kuumiza akili yangu kuwaza majina yao!
HAO JAMAA HISTORIAQ INAONYESHA WAMEWAHI KUVUTA BANGI.<br />
<br />
Acha upupu,kama kuna majembe niliyoyaona pale mjengoni Lema na Wenje ni kati ya majembe ya ukwel,mbona makinda+ccm walikoma!