Mawaziri matumbo joto

Field Marshall ES,(KWANGU unabaki kuwa NI Mwalimu)

Ndio maana niliwauliza wakongwe wenzako humu kuwa Bunge linaisha lini?
Wamenijibu walivyoweza na ninashukuru ila niongeze kitu kingine " Sidhani kama Muungwana kwa sasa yuko radhi kuyumbisha uongozi wake kwa kumuondoa PM na ndio maana nachelea kusema kama tafanya mabadiliko ktk kipindi ambacho bunge limemaliza kikao basi ni wazi na dhahiri kuwa PM yuko salama.
Mungu awabariki nyote
 
1. Kingunge, yumo NEC lakini hayumo kwenye cc, ni vitu viwili tofauti,

2. Bunge linamaliza kikao chake leo, na baaada ya hapo Cabinet Reshuffle, itaanguka at anytime!
 
The chairman of the Parliamentary Committee that will probe the awarding of the power generating contract to Richmond Development Corporation has said that Tanzanians should expect a reliable report once the investigations have been completed.

This was said yesterday by Kyela MP Dr Harrison Mwakyembe, who was elected yesterday by fellow team members to chair the group. Engineer Stella Manyanya becomes the Vice Chairperson.

`We shall make an in depth investigation. We are not going to let the people down. We shall demand to be furnished with original contract documents, not photocopies so as to avoid being hoodwinked,` Dr Mwakyembe told The Guardian.

He added: `We shall not accept photocopies. Luckily, our committee is legally empowered to summon anybody whom we think shall assist us in conducting the investigations.`

Dr Mwakyembe said although the investigations were supposed to be ready within a short period of one month, they would do their bestto complete both the scrutiny of documents and investigations by December 15.

The committee commenced its work yesterday.
 
Mzee ES....

duh hiyo statement ya kuwa MUUNGWANA hajaongea na KARAMAGi imenikosha sana kaka.haya tusubiri tuone.

jee wakulu walikutonya kuhusu Prof Mwandosya kuwa PM?
data zinasemaje jee kweli kuna BEEF baina ya MUUNGWANA na Prof Mwandosya?...........tafadhali kaka nataka DATAS na sio uvumi kama wa watu fulani hapa JF.
 
jee wakulu walikutonya kuhusu Prof Mwandosya kuwa PM?
data zinasemaje jee kweli kuna BEEF baina ya MUUNGWANA na Prof Mwandosya?...........tafadhali kaka nataka DATAS na sio uvumi kama wa watu fulani hapa JF.

Heshima mbele mkuu wangu,

Hii ishu ya PM inaonekana kuwa ngumu sana kueleweka, it cost a lot of hela za walipa kodi kumuondoa kiongozi kutoka hiyo nafasi, Sumaye, alipokuwa madarakani ilipotokea ishu ya benki ya NMB, alikuwa tayari kujiuzulu baada ya kumdanganya Mkapa, mpaka akaishia kumfukuza kazi Kaduma, toka kuwa mwenyekiti wa bodi ya NMB, lakini haikuwezekana, maana by now tungekuwa na Mawaziri Wakuu wastaafu toka awamu moja ya tatu, gharama za kuwatunza kwa walipa kodi ni too high kwa rais kukurupuka na kumbadili tu,
ndio maana huenda in the near future ya our politics tutakuwa na tabia ya kuishi na ma-PM wasiofaaa kwa vipindi viwili, kuliogopa hilo, Muungwana, aliambiwa sana alipochaguliwa kuwa asimpe huyo mkuu Luwassa, akagoma kabisaa sasa inabidi tulinywe,

Kuhusu Mwandosya, ninaomba kusema hivi kuwa kama kweli Muungwana, ana beef naye by now asingekuwemo kwenye cabinet, na pia asingemshinda Tom, kule Mbeya, hivi karibuni kuna wajumbe wa cc waliotaka kulileta hili kwenye kikao, Muungwana, alikuja juu kama mbogo kuwa hataki kugombanishwa na Kigoda, na Mwandosya, ukweli ni kwamba hakuna beef wala hakuna u-PM, ni viongozi wanaoheshimiana sana, it is about time sasa wananchi tukatafuta ishu za muhimu kwa taifa letu, badala ya kulilia beef ambazo hazipo na pia haziwezi kutusaidia lolote kwa taifa, mkuu wangu usiwasikilize hakuna beef kati ya hao wakuu!
 
mkubwa inaonekana una details za huyu jamaa,kwani ye alikuwaga geneva?na kama alikuwa huko ni kama nani?mana nasikia tu balozi kagasheki ila sijui historia ya ubalozi wake

Ndiyo Mkubwa,
Kagasheki aliwahi kufanya Ubalozini na Dr. Salim Ahmed Salim katika moja ya nchi za kiarab
 
tunajua kuwa kuna mawaziri wengi wanaokuja hapa kutafuta dataz, ninaomba niwaambie kuwa cha moto kinakuja,

according to the dataz Muungwana, sasa ameamua kuwa waliomfadhili urais sasa zamu yao imeisha, ni zamu ya wale aliokuwa akiwataka rohoni kwake lakini akashindwa kutokana na kulipa fadhila kwanza, sasa itakuwa for real,

Mkuu Karamagi, nasikia yuko hoi bin taabani maana for the last at least two months, Muungwana hajaongea ana kwa ana na Karamagi, wala Rostam!

Kama nilivyoahidi, tunaendelea ku-monitor situation na tutaziweka hapa hapa JF tukufu!

Mzee ES, nakuaminia kwa madata mkuu, lakini nyepesi za hivi karibuni zinasema Muungwana wakati wa kumuondoa RA katika Sekretarieti kama mweka hazina, alitumia zaidi ya saa tatu kuzungumza naye (RA) akimtaka aachie hiyo nafasi maana watu wanamsema vibaya sana na walibishana sana kabla ya RA kukubali na kumtaka mtu wake ndiye achukue hiyo nafasi, akamtaja Amos Makala, ambaye ni mtu wao wa karibu.... Sina hakika sana na taarifa hizo japo zinaashiria ukweli fulani....

Halafu, baada ya kuundwa kamati teule kuhusu Richmond na kamati ya madini, naona kama anaweza kusubiri hadi Desemba 15 apokee ripoti ya Richmond ama atatumia ripoti yake ya ndani? na baada ya Bunge kuvunjwa je, inaashiria EL kapona?
 
haya mambo ya kuogopa gharama ya kumuondoa mtu ni hofu zisizo na msingi na ni udhaifu wa kiongozi. Katika Tanzania yetu kusiwe na hofu ya kumwajibisha mtu ati kwa sababu gharama ya kumtunza itakuwa kubwa. Ukweli ni kuwa vyovyote itakavyokuwa ukiondoa PM kukutwa na hatia ya makosa ya kiuhalifu ambayo yatamuondolea huduma na haki za kustaafu Lowassa atapata haki zote kama Waziri Mkuu mstaafu akindoka leo au baada ya miaka mitano. NI haki yaki na siyo hisani ya Rais au chama tawala.

Wenzetu kwenye makampuni makubwa ya kimataifa wanafanya hivi. Endapo CEO, COO, CFO au mtu wa ngazi hizo anapoharibu kupita kiasi na wanaamua kumtimua guess what.. anapata kilicho haki na hiyo gharama haiizuii kampuni kumtimua kwani ndiyo gharama ya kufanya biashara! Tusiwe na miti mitakatifu katika uongozi wetu hadi tuogope kuikata kana kwamba miti mingine haitaota!
 
Kwa mtaji huo huo tusiogope gharama ya kuiondoa CCM madarakani kwa sababu ni hofu isiyo na msingi kwa sababu nchi ni ya Watanzania na sio CCM.....
 
Nyani, right on na siyo hivyo tu ila tatizo binafsi linanikere ni hii imani kuwa fulani akiondoka basi nchi itayumba.. Lazima tuwe na uwezo kuwa Rais anaweza akafukuza mawaziri na makatibu wote wakuu na wengine wakachukua nafasi yao pasipo kutingisha hata mapazia!! Sasa hivi kuna hii hofu kuwa mabadiliko fulani makubwa yakitokea basi Tanzania itashtuka.. Ningekuwa elcommandante el presidente ningewatimua wote just to send a message kwamba hakuna anayeogopwa!!
 
Hawa raia mwema hii habari wameitoa JF. Rudieni ujumbe wa Mwana siasa unafanana sana na kilichoandikwa hapa.

Si ajabu hawa nao hawana za jikoni, na badala yake jiko lao ni JF

Hio mbona mara nyingi tu Mtanzania?
Wahariri wengi nadhani kabla hawajatoa gazeti lao lazima wapite hapa kuangalia 'breaking news' zozote angalau wapate cha kuandika. Ukitaka kuamini hili, jaribi kuwa unapitia maoni ya wahariri mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom