Katika hali isiyo ya kawaida kutokana na upepo unaovuma ndani ya bunge kuhusu kutokuwa na imani na waziri Mkuu Pinda inawezekana serikali ya CCM haitokuwa tayari kukubali kwa mara nyingine kuvunja bunge baada ya bunge kupiga kura ya kutokuwa na Imani na Waziri mkuu.
Hapa naona serikali lazima itawashinikiza mawaziri waliotajwa kusababisha au kutumia pesa za serikali hovyo kujiuzuru/kuondoka madarakani ili kuepuka aibu nyingine baada ya ile ya Richmond.
Kuna ya Kafulila na zingine chache kutoka CCM. Mrema huyo hawezi. Labda Hamad Rashid anaweza kujitutumua
sioni wa kushikilia wizara hata mmoja ndani ya ccm hata wanaopiga kelele nao wameoza bora na wabunge wa ccm nao wajiuzulu after 50 yrs of independence leo ndo wanaona madudu ya serikali? au ni hasira ya kunyimwa nyongeza ya posho? siku zote waliwazomea chadema leo nao (wamegeuka walokole?) shame on them
Tetesi inahitaji source?source kabla ya mjadala
Du wamekutana Dodoma hotel usiku huu naona kura zitavuka 70 hawana utani J3 hapatakalikalakini si mpaka zipatikane saini 70 wabunge?
nina uhakika wa kupatikana kwa saini 40 s za cdm lakini zilizo bakia sijui