Mawaziri angalau watatu wa Kikwete wajiuzulu mara moja

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Kufuatia kosa la uhujumu uchumi lililotokea Novemba 26, 2010 la Ndege ya Jeshi la Qatar kuingia nchini na kubeba shehena kubwa ya wanyama hi, ni wakati sasa wa mawaziri kujiuzuru kwa kuifedhehesha serikali yao na nchi inayowalipa mishahara.
  • Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi - Twiga ni mnyama mkubwa ambaye huwezi kumsafilisha ukiwa umemficha na kwa kuwa watendaji walio chini ya waziri Nahodha walishindwa kutekeleza wajibu wao, waziri anayehusika na wizara hii ajiuzuru na asipojiudhuru afukuzwe kazi mara moja.
  • Waziri wa Ulinzi na JKT - Ni hatari mno kama mtu anaweza kuingiza ndege bila kufuata utaratibu na bila kujua ni kitu gani ndege hiyo inachukua kutoka kwenye taifa hili na akaondoka bila hata kushitukiwa au kuzuiwa, achilia mbali ikiwa imebeba wanyama hai ambao wamechukuliwa bila vibali sitahiri... kama alishindwa kujiuzuru kwenye skendo ya mabomu itakuwa ajabu kama hii itashindwa kumuondoa!
  • Waziri wa Mali Asili na Utalii - Kama wanyama wetu wanatoroshwa kwa madege je ni wangapi wanatoroshwa kwenye magari mipakani????
Baada ya hawa kuwa wameondoka, Rais awastaafishe wafuatao kwa manufaa ya taifa:
  1. IGP Mwema
  2. Mkuu wa majeshi ya ulinzi
  3. Mkuu wa Usalama wa Taifa (kama idara hii bado ipo)
  4. Wakuu wa polisi wa wilaya walimopitishwa wanyama hawa
  5. Mkuu wa polisi mkoa wa Arusha
  6. Mkuu wa Mkoa Arusha (yeye ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa taifa)
  7. Mkuu wa uwanja wa ndege wa KIA
Tukio hili huenda ni makusudi ya Mungu kutujulisha jinsi nchi yetu inavyolanguliwa na jinsi gani nchi yetu ilivyokosa maadili.

Sidhani kuwa enzi za Mwl Nyerere kungetokea mgeni akawa na guts za kufanya hujuma iliyofanyika 26 November 2010! Sidhani kuwa hili lingewezekana enzi za akina Gen Musuguri!
 
Halafu tukiambiwa serikali yetu ni kichwa cha mwendawazimu tunakuwa wakali??
 
Kufuatia kosa la uhujumu uchumi lililotokea Novemba 26, 2010 la Ndege ya Jeshi la Qatar kuingia nchini na kubeba shehena kubwa ya wanyama hi, ni wakati sasa wa mawaziri kujiuzuru kwa kuifedhehesha serikali yao na nchi inayowalipa mishahara.
  • Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi - Twiga ni mnyama mkubwa ambaye huwezi kumsafilisha ukiwa umemficha na kwa kuwa watendaji walio chini ya waziri Nahodha walishindwa kutekeleza wajibu wao, waziri anayehusika na wizara hii ajiuzuru na asipojiudhuru afukuzwe kazi mara moja.
  • Waziri wa Ulinzi na JKT - Ni hatari mno kama mtu anaweza kuingiza ndege bila kufuata utaratibu na bila kujua ni kitu gani ndege hiyo inachukua kutoka kwenye taifa hili na akaondoka bila hata kushitukiwa au kuzuiwa, achilia mbali ikiwa imebeba wanyama hai ambao wamechukuliwa bila vibali sitahiri... kama alishindwa kujiuzuru kwenye skendo ya mabomu itakuwa ajabu kama hii itashindwa kumuondoa!
  • Waziri wa Mali Asili na Utalii - Kama wanyama wetu wanatoroshwa kwa madege je ni wangapi wanatoroshwa kwenye magari mipakani????
Baada ya hawa kuwa wameondoka, Rais awastaafishe wafuatao kwa manufaa ya taifa:
  1. IGP Mwema
  2. Mkuu wa majeshi ya ulinzi
  3. Mkuu wa Usalama wa Taifa (kama idara hii bado ipo)
  4. Wakuu wa polisi wa wilaya walimopitishwa wanyama hawa
  5. Mkuu wa polisi mkoa wa Arusha
  6. Mkuu wa Mkoa Arusha (yeye ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa taifa)
  7. Mkuu wa uwanja wa ndege wa KIA
Tukio hili huenda ni makusudi ya Mungu kutujulisha jinsi nchi yetu inavyolanguliwa na jinsi gani nchi yetu ilivyokosa maadili.

Sidhani kuwa enzi za Mwl Nyerere kungetokea mgeni akawa na guts za kufanya hujuma iliyofanyika 26 November 2010! Sidhani kuwa hili lingewezekana enzi za akina Gen Musuguri!

Umesema vema, lakini serikali yetu ina masikio?
 
Kufuatia kosa la uhujumu uchumi lililotokea Novemba 26, 2010 la Ndege ya Jeshi la Qatar kuingia nchini na kubeba shehena kubwa ya wanyama hi, ni wakati sasa wa mawaziri kujiuzuru kwa kuifedhehesha serikali yao na nchi inayowalipa mishahara.
  • Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi - Twiga ni mnyama mkubwa ambaye huwezi kumsafilisha ukiwa umemficha na kwa kuwa watendaji walio chini ya waziri Nahodha walishindwa kutekeleza wajibu wao, waziri anayehusika na wizara hii ajiuzuru na asipojiudhuru afukuzwe kazi mara moja.
  • Waziri wa Ulinzi na JKT - Ni hatari mno kama mtu anaweza kuingiza ndege bila kufuata utaratibu na bila kujua ni kitu gani ndege hiyo inachukua kutoka kwenye taifa hili na akaondoka bila hata kushitukiwa au kuzuiwa, achilia mbali ikiwa imebeba wanyama hai ambao wamechukuliwa bila vibali sitahiri... kama alishindwa kujiuzuru kwenye skendo ya mabomu itakuwa ajabu kama hii itashindwa kumuondoa!
  • Waziri wa Mali Asili na Utalii - Kama wanyama wetu wanatoroshwa kwa madege je ni wangapi wanatoroshwa kwenye magari mipakani????
Baada ya hawa kuwa wameondoka, Rais awastaafishe wafuatao kwa manufaa ya taifa:
  1. IGP Mwema
  2. Mkuu wa majeshi ya ulinzi
  3. Mkuu wa Usalama wa Taifa (kama idara hii bado ipo)
  4. Wakuu wa polisi wa wilaya walimopitishwa wanyama hawa
  5. Mkuu wa polisi mkoa wa Arusha
  6. Mkuu wa Mkoa Arusha (yeye ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa taifa)
  7. Mkuu wa uwanja wa ndege wa KIA
Tukio hili huenda ni makusudi ya Mungu kutujulisha jinsi nchi yetu inavyolanguliwa na jinsi gani nchi yetu ilivyokosa maadili.

Sidhani kuwa enzi za Mwl Nyerere kungetokea mgeni akawa na guts za kufanya hujuma iliyofanyika 26 November 2010! Sidhani kuwa hili lingewezekana enzi za akina Gen Musuguri!
Kwa maana hiyo serikali yote ijiudhuru kushindwa kusimamia vizuri mali za asili zetu mpaka madege ya nje yanajibebea kama hazina mwenyewe.(Kichwa cha mwendawazimu) Actualy they will present a weak case in court, kujiosha then its over, tungoje tuone!!!!!
 
mna lalamika nini, hamjui hii nchi inatakiwa kuwa OIC? Hao waliochukua wanyama sio makafiri bali ndugu zetu wanajumuia ya OIC, hivi kweli mnataka waungwana said, naodha, hussein nk wajiuzuru? kwa kosa gani? Msilete masihala hapa.
 
Kama Ngereja kashindwa kujiuzulu kwa kuliingizia taifa hasara ya mabilioni ya pesa kwa ahadi hewa za umeme, itakuwa hao? Nafikiri ni ndoto, kwa sababu hatuna utamaduni kama huu.
 
Usinikumbushe msuguri yule ni mzalendo wa kweli kipindi kile jeshi lilikuwa jeshi kweli,sasa hivi hili la vitambi we acha tu,
 
Mkuu wa nchi yeye safari kila kukicha, he doesn't give a damn about what's going on in this country!
Hawa wanyama iko siku wataisha wote.
 
Back
Top Bottom