Kamjingijingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2009
- 806
- 129
VIGOGO wa Serikalini walio madarakani ambao walighushi shahada za degrii bandia wametakiwa kuachia nyadhifa hizo pia na kurudi shuleni.
Source: Nifahamishe.com
Mh. Mujuni2, ahsante kwa kutoa 'clarification' yako.. ila, ukipitia maneno ya Mh. maghembe, anasema wazi kabisa, kwamba ni BANDIA!! Hao ni WEZI!!! Kama si wezi, wangewapa ada watoto vyuoni, ili waje kuwa viongozi bora nchini kwetu!!