Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
wawe scanned na antivirus kabla ya kufikiriwa kukubaliwa,virusi vya magamba ni hatari visipokuwa scanned!
Sawa ghete Ngosha!
wawe scanned na antivirus kabla ya kufikiriwa kukubaliwa,virusi vya magamba ni hatari visipokuwa scanned!
wataje
You are so telepathic,yaani exactly my thought especially nominatition point!Hao wote ni "opportunists", wangekuwa na nia kweli ya kujiunga na CHADEMA wangeanza kwa kuunga mkono hoja ya Zitto.
Hao wabunge wa CCM huwa siwaamini hata kidogo. Waliitosa CCJ na Mpendazoe na mpaka leo hii bado wanakula bata ndani ya CCM. Jamaa wakishaona chama kinapoteza mwelekeo ndio wanaanza kusaka sehemu ya kwenda kutumia kama uchochoro wa kurudi Mjengoni, wakiona mambo poa wanatulia tuli.
Kama kweli wanataka kuhama, wanasubiri nini huko CCM. Watakaosubiri mpaka Bunge livunjwe hapo September 2015, au baada ya kutoswa kwenye kura za maoni, wanaweza kuja kuwa akina Shibuda. I hate mambo ya papo kwa papo na ndio wakati mwingine yanasababisha vurugu kwenye vyama vya siasa. Maana unaweza kuta kuna mwanachama amefanya kazi ya kukiimarisha chama, halafu anakuja mwingine from no where anapewa nomination ya bure.
wawe scanned na antivirus kabla ya kufikiriwa kukubaliwa,virusi vya magamba ni hatari visipokuwa scanned!
Kuna anae weza kuutetea uongo? hujastuka kuwa ni "sabaa u sabiin"?
wawe scanned na antivirus kabla ya kufikiriwa kukubaliwa,virusi vya magamba ni hatari visipokuwa scanned!
chadema wanatafuta Sifa mbinu yao hiyo ya kizee kabisa mwenye akili aambiwi tazama na kamwe mwenye akili timamu hawezi kuhamia chadema,,chadema wanahamia wenye akili mbovu za kushikiwa kwa kijana mwenye akili kamwe hawezi kwenda kwa wachaga
chadema wanatafuta Sifa mbinu yao hiyo ya kizee kabisa mwenye akili aambiwi tazama na kamwe mwenye akili timamu hawezi kuhamia chadema,,chadema wanahamia wenye akili mbovu za kushikiwa kwa kijana mwenye akili kamwe hawezi kwenda kwa wachaga