wa kupewa nafas ni wale waliosaini na kumuunga mkono zotto.Tuwapokee ila watakuwa wanachama wa kawaida kabisa.
wa kupewa nafas za uongozi ni wale waliosaini na kumuunga mkono zotto.Tuwapokee ila watakuwa wanachama wa kawaida kabisa.
Remember shibuda
Katika hatua nyingine, Mbowe alisema kati ya wabunge 200 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) 70 wamekwishaomba nafasi/wamebuku nafasi Chadema. Pia alisema katika Baraza la Mawaziri aliloliteua Rais Kikwete juzi, mawaziri tisa nao wamekwishaomba nafasi Chadema. "Sasa tunawaambia wakichelewa tutafunga safina."
Hata Slaa alipobaizwa kwenye kura za maoni alikimbilia chadema. Taka taka na uozo wa uadilifu hatuukubali CCM.
Mwenyekiti wa chadema freeman Mbowe amasema amepokea maombi ya mawaziri7 na wabunge70 wa ccm kujiunga chadema.
Chanzo: Tanzania daima
Mwananchi: