Unashangilia unajua ni jengo la nani hilo?
Wabongo kweli tumelaaniwa.....kweli tumefikia hatua ambayo hata umiliki wa jengo la Mawasiliano Towers tuna mashaka nao????
Jengo katika barabara ya SAM NUJOMA (port access road) ambalo linamilikiwa na mamlaka ya mawasilano (TCRA) limezinduliwa na rais wa JMT...!