Baadhi ya wateja na mawakala wa ushuru na forodha ktk bandari ya dar wanaandamana muda huu wakishinikiza kuonana na Mwakyembe. Hii ni baada ya utaratibu mpya alotangaza waziri wa jinsi ya kulipia mizigo kuwa kikwazo na karaha ktk utoaji wa mizigo. Waandishi wa habari mnaweza kwenda maeneo ya bandari kupata taarifa zaidi.