Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Vimini vinasema nini kuhusu mvaaji?Suruale je?Kaptula?Gauni?Baibui?Tshirt??Suti?? Inawezekana ikawa kweli kwa kiasi kidogo ila huwezi kujudge mtu kwa vazi alilovaa maana vazi sio tabia binafsi ya mtu.Ni interest tu kama ulivyo mziki...kwasababu tu mtu anasikiliza reggae au rap haina maana anavuta bangi!Tujifunze kuangalia zaidi ya mavazi!
kha...i think u missed the point!!wewe umeingiza tabia wakati mtoa mada hajasema tabia. Yeye ameongelea 'namna ya mtu'. Tabia na 'namna ya mtu' ni vitu viwili tofauti!