mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Nani kakuambia kuwa mimba ni uhuni au dhambi?Wale washabiki wa sauti nyororo kutoka kwa binti Maunda Zoro
msione hapatikani jukwaani siku hizi, ni kwamba ana mimba kwa sasa jamaa wameshajaza kama picha ya hivi karibuni inavyoonyesha hapo chini
Watoto wa mji mnaweza kutupa ndogo ndogo ni jamaa gani kafanya mambo?
ikiwezekana dada zetu wanaoibukia kwenye fani nao wawe makini kama ishu
inatokana na mambo ya sanaa
http://4.bp.blogspot.com/_uDjCUzboFtk/S3kpRAJ8aII/AAAAAAAABa4/DE5xd8huZU4/s1600-h/DSC01416.JPG
Na unataka kumjua aliyempa hiyo mimba ili na wewe upatiwe yako ukaitunze au?