Dah...natamani sana kuja..but omba ruhusa kwa Cantalisia kwanza...jamani sweety Rejao, njoo basi tumalizieee.
when i saw ny mama in the ICU for 11 days fighting for her life! SITASAHAU!
kuna linaloumiza zaidi ya mapenzi....ukiondoa kufiwa.....?
Siku mke wangu alivyoniambia ananiacha karibu nianguke..hata misiba haijawahi kuniangusha chini..i think kama alivyosema hapo juu ukiachia kufiwa ni kuumizwa kwenye mapenzi...mmh mhh mhh
Hakuna kinachoumiza km kusalitiwa na uliemwamin na kumpenda kwa dhati!thx god my Rejao ni mwaminifu sn!
Usilolijua ni kama usiku wa giza.
Kudhulumiwa mshiko...
kufumaniwa nyie acheni jamani aaaah iseeee hapana.bora ufumanie wallah tena!
Dah...natamani sana kuja..but omba ruhusa kwa Cantalisia kwanza...
Kibuti ! Kibuti !
Kinaongoza ligi ! Semea uwe hakijakupata! Mzaha tupa kulee!
NA HASA MAUMIVU YA KIBUTI , HUKUINGIA MAUNGONI PALE IKUTOKEAPO UMDHANIE NDIYE KUMBE SIYE ! NA YULE WA SIYE AKAWA NDIYE !!
Asante sana kwa kuniamini my beloved one. Mimi siwezi kukusaliti kabsaaa.
Ulimfanya nini?
Kwa nini uli cheat?
hapo kinachokuumiza nini ukifumaniwakufumaniwa nyie acheni jamani aaaah iseeee hapana.bora ufumanie wallah tena!
hapo kinachokuumiza nini ukifumaniwa
hapa bado sijaelewa, yeye anaumia kwa kufumaniwa kivipi. yaani atamkosa huyo alie fumaniwa nae au atamkosa yule aliemfumania?mapenzi yanauma kuliko kindoda sijawahi ila jamaa alijitwika kufuli kichwani
mmhuu! dizain kama yalishakukuta ivi...
maneno yako yamebeba feelings za ajabu! lol
yako mengi sana ambayo yametuumiza, lakini suala la kusema hutasahau, ni kujiwekea makumbukumbu yasio natija kwa ubongo zetu.Katika maisha ,kuna wakati wa raha na uzuni pia,,kufiwa ni jambo ambalo hua linamuumiza kila mtu pindi yanapomkuta.
Je ni jambo gani lingine(ukiondoa kufiwa) ambalo limeshawahi kukuumiza saaaaaana na hutaeza kulisahau??