Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,142
- 13,216
- Thread starter
- #21
Isambe huwa naangalia viashiria vya kiwango cha wala rushwa katika jeshi la Polisi, ukikuta mnene sana ujue ana muda mrefu kazini, ukikuta mwembamba sana ujue ndio katoika CCP au kahamishiwa kitengo karibuni, aisee jamaa wanakula sana hawa yaani nadhani ndio priority ama badu huenda wana compensatena wote wanafanana si jinske au jinsme
umesahau pale matrafiki wetu wanapo jipa break ya lunch kula chips na mayai huku wakishushia na Serengeti ya vuguvugu!