Kuna matatizo mengine ni ya kwenda hospitali tu ukapata utatuzi...tutakuja ulizana mpaka mafua hapa!
Samahani kama nimekukera lakini hii forum hai'substitute' hospitali...sidhani lengo la hii forum ni kuambiana sentensi mbili mtu unajiskiaje then uambiwe tiba and thats it. JF Doctor is more than that.
pole yutong, labda kichwa na mabega ni vya kichina (nakutania,lol)
pole sana.
kama umeenda hosp na kucheki kama huna malaria na vitu kama hivyo inawezekana tatizo linatokana na stress pia.
Otherwise inaweza kuwa related na kazi unayofanya (ergonomics), au godoro na mto unaolalia! last wk nilikuwa na mtaalamu mmoja akawa ananiambia shelf life (expiry ) za magodoro ya aina na quality mbalimbali! nilishangaa how i related to it!
Habari zenu madr wa jf! Mimi nasumbuliwa sana na maumivu ya shingo sehemu ya nyuma yahani kuanziwa kwenye kisogo mpaka sehemu za mabega. Je tatizo itakuwa nini? Na je kuna tiba yoyote naweza pata? Asenteni sana wakuu
Kamwone Dr. unaweza ukawa na bp, last week nilipata tatizo kama hilo, nilishindwa hata kugeuka, but mimi nilitumia mkorogo wa kitunguu saumu, asali na mlonge kwa kweli baada ya siku 3 nikawa fit, sasa nasikia maumivu kwa mbali sana; wakati unafuatilia dr. fanya mkorogo huo kama juisi yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.