NTINGINYA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 252
- 47
Wakuu naimani hamjambo nawanaoumwa poleni
wenye ujuzi watujuze wakuu mimi mkewangu nimjamzito na anamiezi mine4 na hii nimimba yapili tatizo alilo nalo ni kuumwa katika nyonga ya mguu wa kulia inamuumampaka anshindwa kutembea na inshika kiasi hawezi kuutmia tumekwenda hspitali tukaambiwa nikawaida lakini inamtesa sana juzi kapata ajali ilimshika akiwa anaendesha gari akashindw kuinua mguu ilialipaki gari akaingia mtaroni naomba msada
wenye ujuzi watujuze wakuu mimi mkewangu nimjamzito na anamiezi mine4 na hii nimimba yapili tatizo alilo nalo ni kuumwa katika nyonga ya mguu wa kulia inamuumampaka anshindwa kutembea na inshika kiasi hawezi kuutmia tumekwenda hspitali tukaambiwa nikawaida lakini inamtesa sana juzi kapata ajali ilimshika akiwa anaendesha gari akashindw kuinua mguu ilialipaki gari akaingia mtaroni naomba msada