Maumivu ya miguu msaada

Jidu

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
1,232
754
Wife amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuumwa na miguu sehemu ya kukanyagia tokea ajifungue kwa Upasuaji zaidi ya mwaka sasa.miguu huwa inauma hasa wakati wa asubuhi ama akikaa muda mrefu bila kutembea.tumejaribu kumuona surgeon kwa kuangalia tatizo lake labda limetokana na upasuaji aliofanyiwa ,akasema anaupungufu wa calcium lakini tumeendelea na matibabu ya vidonge vyenye madini ya calcium na mchanganyiko wa madini mengine bila mafanikio sasa.naomba ushauri kwani kila kukicha ni malalamiko,wapi naweza kupata Mganga (Doctor) bingwa akani saidia hili tatizo likamuondoka na pia huwa inasababishwa na nini hasa?
 
Wife amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuumwa na miguu sehemu ya kukanyagia tokea ajifungue kwa Upasuaji zaidi ya mwaka sasa.miguu huwa inauma hasa wakati wa asubuhi ama akikaa muda mrefu bila kutembea.tumejaribu kumuona surgeon kwa kuangalia tatizo lake labda limetokana na upasuaji aliofanyiwa ,akasema anaupungufu wa calcium lakini tumeendelea na matibabu ya vidonge vyenye madini ya calcium na mchanganyiko wa madini mengine bila mafanikio sasa.naomba ushauri kwani kila kukicha ni malalamiko,wapi naweza kupata Mganga (Doctor) bingwa akani saidia hili tatizo likamuondoka na pia huwa inasababishwa na nini hasa?
Pole sana Mkuu Jidu Mwambie Shemeji ajipake Hina kwenye sehemu zinazo muuma nyayoni itamsaidia kuondoa Maumivu ya miguuni sehemu za nyayoni ajipake Hina kila Wiki mara 2 kisha unipe FeedBack matokeo yake
 
Wife amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuumwa na miguu sehemu ya kukanyagia tokea ajifungue kwa Upasuaji zaidi ya mwaka sasa.miguu huwa inauma hasa wakati wa asubuhi ama akikaa muda mrefu bila kutembea.tumejaribu kumuona surgeon kwa kuangalia tatizo lake labda limetokana na upasuaji aliofanyiwa ,akasema anaupungufu wa calcium lakini tumeendelea na matibabu ya vidonge vyenye madini ya calcium na mchanganyiko wa madini mengine bila mafanikio sasa.naomba ushauri kwani kila kukicha ni malalamiko,wapi naweza kupata Mganga (Doctor) bingwa akani saidia hili tatizo likamuondoka na pia huwa inasababishwa na nini hasa?

Mpe pole, mkuu hukufafanua miguu inaumaje, (inawaka moto?, inachomachoma?inapwita kama jipu? maumimivu anayahisi kwenye ngozi au ndani kwenye misuli au ndani kabisa kwenye mifupa? je kuna wakati inakufa ganzi na hivyo kuhisi kama vile inamatope?) Hayo ni mambo ya muhimu kufahamu.
Hata hivyo kwa shida hiyo hukupaswa kwenda kumuona surgeon hiyo shida haihusiani kabisa na surgeon. ulipaswa umuone physician huenda mke wako akawa na ugonjwa unaoitwa peripheral neuritis, na hausababishwi na operation aliyofanyiwa. Ni ugonjwa unaowapata zaidi akina mama na hasa wenye umri zaidi ya miaka 30 japo hata chini ya hapo inawezekana. Kama utakuwa ndio wenyewe unatibika japo itampasa atumie dawa kwa muda mrefu labda miezi mitatu. Nakushauri kamuone Physician.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom