Wandugu
Nimesoka habari ya Mh. Mwinyi kupigwa kibao shavuni kwa masikitiko makubwa.
Watu walianza kwa kuwasema mafisadi hadharani bila hofu, watu wakasubiri shubiri ingefuatia kukawa kimya, ikawa asubuhi ikawwa jioni siku ya kwanza.
Baadae watu wakaanza kuwa zomea viongozi wakuu wa nchi na hata kuwauliza maswali magumu hadharani, watu wakasubiri hamsa kumi nambili hakuna chochote kilichotokea. Ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya pili.
kama vile haitoshi watu wakampiga rais wa nchi Mawe kwa kushindwa kusikiliza kero zao, tukasubiri watu walubishwe, hakuna kilichotokea ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya tatu.
Leo tena mkuu wa zamani wa nchi na amiri jeshi mkuu mstaafu kavutwa sharubu na kupigwa vibao nae akasema chukua na ubavu mwingine, nalo litapita hivi hivi ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya nne.
Je ni nini kinafuatia???????? Sehemu zilizowahi kuwa na vita na mitafaruku mikubwa, migogoro yao ilianza kwa style kama hii mwishowe tutakuwa wakimbizi sijui wapi maana hatuna pa kukimbilia japo tumezungukwa na nchi nane tofauti
hata maumivu ya kichwa huanza hivyo hivyo mwishowe.......... Tusipoziba ufa.....
kichakoro,
Wazee wa Kuchoma Ndizi
Nimesoka habari ya Mh. Mwinyi kupigwa kibao shavuni kwa masikitiko makubwa.
Watu walianza kwa kuwasema mafisadi hadharani bila hofu, watu wakasubiri shubiri ingefuatia kukawa kimya, ikawa asubuhi ikawwa jioni siku ya kwanza.
Baadae watu wakaanza kuwa zomea viongozi wakuu wa nchi na hata kuwauliza maswali magumu hadharani, watu wakasubiri hamsa kumi nambili hakuna chochote kilichotokea. Ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya pili.
kama vile haitoshi watu wakampiga rais wa nchi Mawe kwa kushindwa kusikiliza kero zao, tukasubiri watu walubishwe, hakuna kilichotokea ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya tatu.
Leo tena mkuu wa zamani wa nchi na amiri jeshi mkuu mstaafu kavutwa sharubu na kupigwa vibao nae akasema chukua na ubavu mwingine, nalo litapita hivi hivi ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya nne.
Je ni nini kinafuatia???????? Sehemu zilizowahi kuwa na vita na mitafaruku mikubwa, migogoro yao ilianza kwa style kama hii mwishowe tutakuwa wakimbizi sijui wapi maana hatuna pa kukimbilia japo tumezungukwa na nchi nane tofauti
hata maumivu ya kichwa huanza hivyo hivyo mwishowe.......... Tusipoziba ufa.....
kichakoro,
Wazee wa Kuchoma Ndizi