HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
HABARI Wandugu,
kuna rafiki yangu ni mpenzi wa pombe (whysky) ingawa huwa hanywi reguraly. ila anasema akinywa whysky(konyagi, valuer,grants nk) anahisi tumaumivu kama vichomi hivi upande wa kushoto ingawa si muda wote.je hapo nini tatizo?? au ni moyo unakuwa unaumia? au ni ini?? drs plz ushauri wenu utatufaa na wanywaji wa togwa (bia) wengine.
kuna rafiki yangu ni mpenzi wa pombe (whysky) ingawa huwa hanywi reguraly. ila anasema akinywa whysky(konyagi, valuer,grants nk) anahisi tumaumivu kama vichomi hivi upande wa kushoto ingawa si muda wote.je hapo nini tatizo?? au ni moyo unakuwa unaumia? au ni ini?? drs plz ushauri wenu utatufaa na wanywaji wa togwa (bia) wengine.