Huwa ninapata maumivu makal sana wakat wa tendo la ndoa pale ninapotoa shahawa au hata ninapopata ndoto pevu(wet dreams) pia ninapata maumivu makal sana chini ya kitovu na wakat mwngne 2mbo hujaa na kunifanya nijambe sana! Pia nakojoa mara kwa mara napia napata maumivu wakat wa kukojoa! Naomba msaada daktari.