Maumivu makal wakat wa kutoa shahawa! Msaada

Meme.com

Member
Dec 24, 2011
23
0
Huwa ninapata maumivu makal sana wakat wa tendo la ndoa pale ninapotoa shahawa au hata ninapopata ndoto pevu(wet dreams) pia ninapata maumivu makal sana chini ya kitovu na wakat mwngne 2mbo hujaa na kunifanya nijambe sana! Pia nakojoa mara kwa mara napia napata maumivu wakat wa kukojoa! Naomba msaada daktari.
 
Asanten! Je kuna madhara yoyote ya matatizo hayo na how long it take kuwa worse problem?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom