Ninamatatizo kwenye JOINT za miguu,ule uteute umepungua hali inayonipelekea kushindwa hata kuchuchumaa vizuri au kupiga magoti, wakat mwingne miguu huniuma sana pindi napotembea umbali mrefu ..!, Naombeni msaada nitumie dawa gan
Pendelea kunywa supu ya makongoro na mchemsho wa bamia tupu inasaidia sana.