1: kujikwaa kwenye kona ya kitanda ktk kidore cha mwisho ukiwa unatoka kulala
2:kujing'ata ulimi wkt unakula
3:kuachwa na mme au mke
4:kujikwaa hadi kucha ing'oke
5:kukataliwa na unayempenda
6:kuchomwa na sindano ya cherehan wkt unashona
7:mme au mke kutoka nje ya ndoa
8:kuingiwa na pilipili kwenye macho
9:ukipata mwenzio akawa mzinifu kupita kiasi
vip kuna jibu hapo?
2:kujing'ata ulimi wkt unakula
3:kuachwa na mme au mke
4:kujikwaa hadi kucha ing'oke
5:kukataliwa na unayempenda
6:kuchomwa na sindano ya cherehan wkt unashona
7:mme au mke kutoka nje ya ndoa
8:kuingiwa na pilipili kwenye macho
9:ukipata mwenzio akawa mzinifu kupita kiasi
vip kuna jibu hapo?