Maumbile na tabia ya mtu

Biologically, tabia na/au muonekano(phenotype) wa Mtu ni 40% mazingira na 60% kurithi! That remains true, until proven otherwise!
Kwa msingi huo then unachokiongea hakina mashiko.
Kujiamini na kutokujiamini wanasaikolojia wanasema inaletwa na jinsi mtu anavyokuwa handled anapokua anafundishwa vitu tofauti tofauti utotoni, kuanzia toilet training, which is believed to be the first actual training given to a child, hadi namna wanavyoku'treat katika kuhamasisha curiosity na leadership.
So hapo tena hoja yako haina mashiko.
Kimsingi hauwezi kutumia tabia za hao wafupi wachache, wasiojiamini na wanaopiga piga vifua na kunyanyua miguu wakati wanabishana kuongelea kuhusu tabia za wafupi wote kwa sababu issue ya tabia za binadamu iko very diverse.
sijadeclare interest wakati naanza coz mimi sio mfupi:lol:...
 
Sija fanya utafiti wa kina, lakini kwa uchunguzi wa haraka haraka nimegundua Watu wanene wengi ni waongeaji wakubwa na Mishipa ya aibu imekatika kabisa.
 
Mzawahalisi ulichosema ni kweli. Mabonge aka bigy wengi (hasa wanaume) ni waongeaji sana,watu wa utani,vituko,hawana.aibu na wacheshi sana.wengi ni disminders.., kwa upande wa wanaume wafufi hasa.wale wafupi halaf wanene huwa ni watu wenye mahusiano mazuri kwenye jamii na wasopenda.makuu. Mfano ni mzee wetu marehemu aliecheza senema ya muhogo mchungu.hakuwa na makuu,mwaminifu,mcheshi,na alizsoma alama za nyakat akastep down. Mwenyezi Mungu amrehemu. Kwa wanawake wafupi..., they are problematic. Rafiki yangu mmoja(above 60yrs) ktk maongez alintahadharisha na wanawake wafupi, cha ajab nlipotambulishwa mke wake nilikuta ni mfupi! Lakin pia ktk vurugu za ujana wanawake walikua wakiamua pachimbike...,palikua panachimbika. Wanaume warefu na hata wanawake waref aka tollu, aaah...wao hawana maneno.wakimya,watu wa soni na ni watu 'kutek iizi' lakin makini ktk mambo ya migongano iwe ya siasa au ya kijamii mfano lowasa,bob makani na mch.mtikila. Kama nimemwaga pumba nakubali kukosolewa wakuu.
 
Hii napinga. Maumbile ya mtu hayana mahusiano na tabia yake. Mbona sisi wapare wengi wetu ni wafupi lakini si wote wabishi; kwa ubishi nasikia wa......ndio wanaongoza?
 
sijawahi kusikia shoga mfupi wote ni warefu, sijajua hii inamaana gani ukihusianisha na huu uzi aliouanzisha huyu mrefu
 
biologically, tabia na/au muonekano(phenotype) wa mtu ni 40% mazingira na 60% kurithi! that remains true, until proven otherwise!
Kwa msingi huo then unachokiongea hakina mashiko.
Kujiamini na kutokujiamini wanasaikolojia wanasema inaletwa na jinsi mtu anavyokuwa handled anapokua anafundishwa vitu tofauti tofauti utotoni, kuanzia toilet training, which is believed to be the first actual training given to a child, hadi namna wanavyoku'treat katika kuhamasisha curiosity na leadership.
So hapo tena hoja yako haina mashiko.
Kimsingi hauwezi kutumia tabia za hao wafupi wachache, wasiojiamini na wanaopiga piga vifua na kunyanyua miguu wakati wanabishana kuongelea kuhusu tabia za wafupi wote kwa sababu issue ya tabia za binadamu iko very diverse.
Sijadeclare interest wakati naanza coz mimi sio mfupi:lol:...


wewe kwa haraka tu nihakika ni mfupi kwa asilimia mia moja i.e100% dwarf huna lolote.na hayo yaliyosemwa nikweli zaidi mnapenda kuongea kwa sauti ya juu sanaaaa ili muonekane
 
nimekuwa nikutana na watu tofauti hapa na pale na kuna kitu nime-note
watu wafupi hasa wanaume hawajiamini halafu ni wabishi sana,wakiongea kama wanatetea kitu au wanagombana huwa wanapiga vifua halafu wananyanyua miguu kwa nyuma kama wanataka kuruka,jamani mlishaona hiyo?maumbile ya mtu yanaweza kuonyesha tabia yake?

Mtu yeyote pua yake inapokuwa karibu sana na vumbi (ardhi) akili zake zinakuwa zimejaa vumbi, mambo yao mengi yanakuwa yanashangaza kila mtu.
 
maumbile yanaweza kuzungumza kitu kuhusu tabia ya mtu lakini inategemea sana makuzi ya mtu huyo na mazingira pia. Kwa mtizamo wenu mwaweza kusema mtu ni mwizi kwa kumwangalia tuu kumbe ni mchungaji safi au maalim sahilina. Nenda kasome saikoloji pale mlimani au sehemu nyingine itakusaidia. "No research no right to speak", Be careful
 
Niliwahi kusoma kwenye mtandao jinsi mpangilio wa kope za macho unavyotumika kutambua ukali au upole wa mtu.
 
kwikwikwikwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! hapo mie simo kabisa, la kwako hilo. Sasa usiombe wale waliokua kwenye maeneo wanakokunywa ulanzi. Eti inasemekana ulanzi unakuza maeneo

Hapo kwenye ulanzi ni kwa jinsia zote kamanda? Manake Majembe mengine ni HEAVY DUTY ati.!
 
Back
Top Bottom