Maumbile na tabia ya mtu

hahah, hallow wadau wa jf habari zenyu jamani mm ni mgeni ndiyo nimejiunga leo......
 
Kwamba madada wenye midomo mipana na nafasi kubwa kati ya kidolegumba cha mguu na vidole vingine wana K si mchezo

Tuendako siko mkuu tutahusisha kila kitu cha nje kwa kiungo cha ndani tuwe careful. Kwani K kubwa ni kubwa kiasi gani?
 
warefu na urefu wa mihogo's - utata mtupu kwa kina dada - ha ha ha ha.
 
Huu ni ubaguzi na unyanyapaa kwa msingi wa kimo/urefu wa mtu. Ukaburu wowote lazima upigwe vita kila dalili zake zinapotokea. Hivyo Napinga hii mada na maudhui yake.
 
kwamba madada wenye midomo mipana na nafasi kubwa kati ya kidolegumba cha mguu na vidole vingine wana k si mchezo

kaka rweye wewe noma, hiyo ni kweli alikua akinielezea pia bibi yangu zamani namna ya kumtambua mwanamke umbile lake la ndani kwa kuangalia umbile lake la nje. Vidole vinavyobanana ujue... Kama vimeachana ujue.....
 
Wachina inakuaje kuhusu hili,mbona wanaanzaa kuitawala dunia ktk nyanja za uchumi,ujenzi na tecknolojia hebu tafakari alafu chukua hatua
 
Mara nyingi watu wafupi hufikiria kuwa wanadharuliwa na warefu, hivyo, hutumia kila wakiwa sehemu hujitahidi ili wafahamike kuwa nao wapo kwa mfano ubishi au kuongea sana na kupenda kuchangia hata mambo yasiyowahusu
 
Wachina inakuaje kuhusu hili,mbona wanaanzaa kuitawala dunia ktk nyanja za uchumi,ujenzi na tecknolojia hebu tafakari alafu chukua hatua

Kutokana na hulka ya watu wafupi, ndio maana Wachina wameweza kufurukuta ili dunia iwaone kuwa nao wapo, hasa Wamarekani ambao wengi ni warefu.
 
Hivi watu wafupi ni wa urefu kiasi gani?
Niliwahi kusoma hii mahali zamani kidogo.
Wa afrika average wanaume ni futi 5.5
wanawake ni futi 5.2

bara la ulaya Wanaume ni futi 5.7
wanawake ni futi 5.5

Bara la amerika kusini wanaume ni futi 5.4
wanawake ni futi 5.0
 
Back
Top Bottom