Mauaji ya watanzania wenzetu yanafanywa na nani?

kwani kazi ya polisi ni nini? na kati ya ccm na chadema nani anamiliki polisi? Kwanini polisi hawataji wauaji?
 
Gazeti na Tanzania Daima la Tarehe 30 Mei, 2012 liliandika kwamba wafuasi wa CHADEMA 15 wameuawa . Habari hii inaungana na kauli ya JOHN Mnyika kwamba wafuasi 15 wa Chadema wameuawa.

Madai haya yanatisha kwa sababu CCM imetawala muda wote tangu uhuru hatujasikia kuwa ni chama cha wauaji, lakini inatisha zaidi kupata majibu kutoka CCM kwamba mauaji hayo yanafanywa na CHADEMA na kusingizia CCM kwa lengo la kujiimarisha kisiasa na kujenga chuki ya wananchi dhidi ya CCM.

Hizi tuhuma ni nzito si vema kuzisambaza bila kuchukua tahadhari ya kutosha. Kutupiana Tuhuma za mauaji au kuua si nyepesi na haziwezi kutangazwa bila ushahidi wa kutosha. Hadi sasa tuhuma hizi zimetugawanya hapa JF wako wanaoona kuwa hii ni mbinu ya CHADEMA kuongeza umaarufu na wapo wanaosema ni mbinu ya CCM kuwatisha wafuasi wa CHADEMA. Hakuna aliyejaribu japo kwa dots mbili tatu kuthibitisha kauli zake.

My take: Ni wapi tunakoelekea?

Hili Hapa chini laweza kuwa uthibitsho:


Nani alimkolimba Kolimba?
Nani Alimpa sumu Mwaki-Embe?
Nani aliua wafuasi wa CDM Arusha wakati wakimkataa Meya?
Nani aliruhusu waandamanaji kule Sonea wauawe?
Tukipata majibu hapa tumetatua tatizo!
 
Jamani yametokea mauaji Mwembechai kauawa askari na kundi kubwa la watu (wakasema CUF) huko pemba akauawa askari Polisi wakasema CUF leo upepo umebadilika Marangu Kiraracha akauawa Mwenyekiti wa kijiji (Mrema TLP) wakasema wasiotaka mabadiliko ya kuwaondoa majambazi
Mbona huko arumeru uvamizi wa mashamba umeshaanza na hawasemi ni CCM?
Kuhusu kifo cha mwenyekiti wa CDM waachieni Intelijencia hizo msg wenye kutuma No. zao zipo waende VODACOM watapewa jina lake anayezituma msitaoe maamuzi kuwa ni wa Chama gani
 
CCM juzi tu walimwua Mwenyekiti wetu wa USA RIVER.
Tena baada ya hapo wakatuma sms kwa Nassari kuwa sasa itakuwa zamu ya Mwenyekiti wa Sing'isi.

Ni mambo ya Intelijensia MAMA POROJO lakini ukifukua fukua kiundani unakuja kupata ukweli kuwa magamba wanawatuma green guard kuwaua watu wetu (Watanzania Wenzetu).

Hii green guard inatakiwa kupewa mafunzo ya uzalendo. Kwa sababu wanaweza wakaijengea chuki CCM, hasa kwa wananchi. Kwa ujumla vyama vyote vinatakiwa kuwa makini sana na hizi guards.
 
Subject for further research, No research no right to speak...unless kama unaongelea ushahidi wa kimazingira.CDM wanahangaika kupata wafuasi, they wouldn't kill their followers,hata siku moja, ingekua kuuana wangeanza kuuana viongozi wa juu ambao nao wana differences zao...kwamba C.C.M wameua u also can't tell directly, lakini inaweza ikawa probability as well. Inahitaji research zaidi, ngoja tuingie kazini,ipo siku tutakuja na majibu ya uhakika...
 
Gazeti na Tanzania Daima la Tarehe 30 Mei, 2012 liliandika kwamba wafuasi wa CHADEMA 15 wameuawa . Habari hii inaungana na kauli ya JOHN Mnyika kwamba wafuasi 15 wa Chadema wameuawa.

Madai haya yanatisha kwa sababu CCM imetawala muda wote tangu uhuru hatujasikia kuwa ni chama cha wauaji, lakini inatisha zaidi kupata majibu kutoka CCM kwamba mauaji hayo yanafanywa na CHADEMA na kusingizia CCM kwa lengo la kujiimarisha kisiasa na kujenga chuki ya wananchi dhidi ya CCM.

Hizi tuhuma ni nzito si vema kuzisambaza bila kuchukua tahadhari ya kutosha. Kutupiana Tuhuma za mauaji au kuua si nyepesi na haziwezi kutangazwa bila ushahidi wa kutosha. Hadi sasa tuhuma hizi zimetugawanya hapa JF wako wanaoona kuwa hii ni mbinu ya CHADEMA kuongeza umaarufu na wapo wanaosema ni mbinu ya CCM kuwatisha wafuasi wa CHADEMA. Hakuna aliyejaribu japo kwa dots mbili tatu kuthibitisha kauli zake.

My take: Ni wapi tunakoelekea?

Hii habari ni ya uongo kwani tarehe iliyotaja haijafika, bado kama siku 23 hivi. sasa huu ni utabiri au ni maoteo?
 
Hili Hapa chini laweza kuwa uthibitsho:


Nani alimkolimba Kolimba?
Nani Alimpa sumu Mwaki-Embe?
Nani aliua wafuasi wa CDM Arusha wakati wakimkataa Meya?
Nani aliruhusu waandamanaji kule Sonea wauawe?
Tukipata majibu hapa tumetatua tatizo!

Unaendeleza kutuhumu.....katika uchunguzi wa kesi kipengere cha tukuma ndicho rahisi kuliko zote katika tasinia ya sheria......kazi ngumu ni kuthibitisha tuhuma.

kila mtu anaweza kutuhumu lakini si kila mtu anaweza kuthibitisha
 
Hii habari ni ya uongo kwani tarehe iliyotaja haijafika, bado kama siku 23 hivi. sasa huu ni utabiri au ni maoteo?

ume-mind kosa la tarehe badala ya contents,

asante .....nimefanya marekebisho
 
Gazeti na Tanzania Daima la Tarehe 30 Aprili, 2012 liliandika kwamba wafuasi wa CHADEMA 15 wameuawa . Habari hii inaungana na kauli ya JOHN Mnyika kwamba wafuasi 15 wa Chadema wameuawa.

Madai haya yanatisha kwa sababu CCM imetawala muda wote tangu uhuru hatujasikia kuwa ni chama cha wauaji, lakini inatisha zaidi kupata majibu kutoka CCM kwamba mauaji hayo yanafanywa na CHADEMA na kusingizia CCM kwa lengo la kujiimarisha kisiasa na kujenga chuki ya wananchi dhidi ya CCM.

Hizi tuhuma ni nzito si vema kuzisambaza bila kuchukua tahadhari ya kutosha. Kutupiana Tuhuma za mauaji au kuua si nyepesi na haziwezi kutangazwa bila ushahidi wa kutosha. Hadi sasa tuhuma hizi zimetugawanya hapa JF wako wanaoona kuwa hii ni mbinu ya CHADEMA kuongeza umaarufu na wapo wanaosema ni mbinu ya CCM kuwatisha wafuasi wa CHADEMA. Hakuna aliyejaribu japo kwa dots mbili tatu kuthibitisha kauli zake.

My take: Ni wapi tunakoelekea?

Wewe jifanye tu jogoo au mbuzi au ng'ombe kwenye kisa cha panya na mtego wa mwenye nyumba,subiri tu utaona impact yake!
 
kama raia tuna wajibu kushirikiana na vyombo vya dola katika kudhibiti na kutokomoza uhalifu wa aina zote nchini, hili la kutupiana mpira kuwa wauaji ni chadema au ccm ni witch hunting ambayo haiwezi kutusaidia. nashauri tuvipe ushirikiano vyombo vya dola kuhakikisha perpetrators wa mauaji haya wanafikishwa kwenye mkono wa sheria.
 
Gazeti na Tanzania Daima la Tarehe 30 Aprili, 2012 liliandika kwamba wafuasi wa CHADEMA 15 wameuawa . Habari hii inaungana na kauli ya JOHN Mnyika kwamba wafuasi 15 wa Chadema wameuawa.

Madai haya yanatisha kwa sababu CCM imetawala muda wote tangu uhuru hatujasikia kuwa ni chama cha wauaji, lakini inatisha zaidi kupata majibu kutoka CCM kwamba mauaji hayo yanafanywa na CHADEMA na kusingizia CCM kwa lengo la kujiimarisha kisiasa na kujenga chuki ya wananchi dhidi ya CCM.

Hizi tuhuma ni nzito si vema kuzisambaza bila kuchukua tahadhari ya kutosha. Kutupiana Tuhuma za mauaji au kuua si nyepesi na haziwezi kutangazwa bila ushahidi wa kutosha. Hadi sasa tuhuma hizi zimetugawanya hapa JF wako wanaoona kuwa hii ni mbinu ya CHADEMA kuongeza umaarufu na wapo wanaosema ni mbinu ya CCM kuwatisha wafuasi wa CHADEMA. Hakuna aliyejaribu japo kwa dots mbili tatu kuthibitisha kauli zake.

My take: Ni wapi tunakoelekea?
Watanzania tunashindwa kuelewa kuwa siku zote binadamu ana adui anayemzunguka ila huwa anashindwa kuonesha uadui wake kwa woga. Mauaji yanayotokea siyo lazima yatekelezwe na Chadema wenyewe ama CCM eti kwa sababu tu za kisiasa. Watanzania lazima tuwe tayari kutafakati na kujiuliza ni nani adui yako kabla ya kuhusisha matukio haya na siasa, la sivyo tutajikuta tunaangamia kutokana na visasi vya siku nyingi tena ambavyo havihusiani kabisa na siasa.
 
Mbona wabunge wa CDM waliotaka kuwawa mwanza hamsemi nani alipanga hayo, Je, ni CDM wenyewe waliotaka kuwaua wabunge wao?
 
Back
Top Bottom