Kesi ya babu seya ilichukua zaid ya mwaka mmoja! Labda uchunguzi haujakamilika!Unajua kilichonisukuma kuandika thredi hii ni baada ya kusoma thredi moja kwenye jukwaa hili kuhusu ile kesi ya babu sea, sina uhakika lakini naona kama kesi yao ilikwenda haraka sana kulinganisha na hii, naomba mdau anayefahamu ile kesi ya wakina babu seya ilitumia muda gani atujuze, au hawa wakubwa wanapanga kulingana na matakwa yao?