hivi unatarajia tume ya nchimbi iwe nzuri na safi wakati yy sio msafi
nilicho kiona ni kwamba polisiccm wana waweka askari kanzu miongoni mwa mashabiki wa cdm ,na kuwafanya chanzo cha fujo ili kuipakazia cdm kwamba ndio wakorofi.
Tunataka zile picha zilizopigwa wakti wa kitendo cha kumlipua marehemu Mwangosi ili ziwe ushahidi wa kuwa-pin polisi wa IGP Mwema.
Tiririka Tiririka mkuu!Hawa lazima wafungwe!
Endelea
Tunazisubiri mkuu...Mungu amewaumbua wauwaji hawa.
lete faster
mkuu huyu sio ushahidi tosha tupia picha za ukweli
Endelea kuweka!
Hivi wakati haya yanatokea kina Slaa walikuwa wapi? Mbona hakuna picha hata moja wanayoonekana kina Slaa?
Kwanza anaonekana kavuta mibangi!! Hakuna la maana analoweza kufanya akiwa hivi zaidi ya kwenda kama robot!! Jeshi la polisi linachemka vibaya sana kufanya mambo kinyume na taratibu na sheria inavyosema!!Huyu hapa alikua uso kwa macho muangalieni vyema!
Ukikosa cha kufanya ni bora hata ukaokote makopo ni deal kwenye sirikali hii ya kina kamhanda na wenzako....Azitowe wapi? labda mumfundishe kutumia picha duka!
Azitowe wapi? labda mumfundishe kutumia picha duka!
Oya oya wa M4C wakihamasisha vurugu.. haki ya nani vile hawa ukiwasachi haukosi silaha za jadi.