Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF,
Hivi karibuni katika miji ya Morogoro na Iringa iligeuka uwanja wa mapambano baina ya wafuasi wa Chadema na askari wa jeshi la polisi na kusababisha mauwaji ya raia wawili Ally Nzona alifariki Morogoro na Mwandishi wa habari Daudi Mwangosi alifariki Iringa.
Jeshi la polisi lilizuia maandamano na mikutano kwa msingi kwamba siku hizo kutakuwa na zoezi la sensa nchini kote na kwamba muda huo wa mchana miji hiyo itakuwa na pilipilika nyingi, jeshi la polisi likataa kuruhusu kufanyika kwa mikutano na maandano.
Katika akili ya kawaida Chadema kilifanya makosa kwa kufanya maandamano kwa nguvu licha ya kupigwa marufuku, ili polisi waingilie kati kuwatawanya hivyo damu imwagigike waituhumu serikali kuwa inawanyima uhuru, tumeona mauji ya makusudi yanayosabishwa na ukaidi na ukaidi na tabia ya kutotaka kufauata sheria kwa viongozi hawa wa Chadema ili wapate sababu ya kuilaumu serikali.
Tunaamini kuwa bila Chadema kuandamana kibabe? Ni dhahiri kuwa kusingekuwa na mauji ukaidi wa makusudi wa Chadema dhidi ya jeshi la polisi ili damu imwagike si wa mara ya kwanza ulishawahi kutokea Arusha watu watatu walifariki dunia.
Hivi karibuni katika miji ya Morogoro na Iringa iligeuka uwanja wa mapambano baina ya wafuasi wa Chadema na askari wa jeshi la polisi na kusababisha mauwaji ya raia wawili Ally Nzona alifariki Morogoro na Mwandishi wa habari Daudi Mwangosi alifariki Iringa.
Jeshi la polisi lilizuia maandamano na mikutano kwa msingi kwamba siku hizo kutakuwa na zoezi la sensa nchini kote na kwamba muda huo wa mchana miji hiyo itakuwa na pilipilika nyingi, jeshi la polisi likataa kuruhusu kufanyika kwa mikutano na maandano.
Katika akili ya kawaida Chadema kilifanya makosa kwa kufanya maandamano kwa nguvu licha ya kupigwa marufuku, ili polisi waingilie kati kuwatawanya hivyo damu imwagigike waituhumu serikali kuwa inawanyima uhuru, tumeona mauji ya makusudi yanayosabishwa na ukaidi na ukaidi na tabia ya kutotaka kufauata sheria kwa viongozi hawa wa Chadema ili wapate sababu ya kuilaumu serikali.
Tunaamini kuwa bila Chadema kuandamana kibabe? Ni dhahiri kuwa kusingekuwa na mauji ukaidi wa makusudi wa Chadema dhidi ya jeshi la polisi ili damu imwagike si wa mara ya kwanza ulishawahi kutokea Arusha watu watatu walifariki dunia.