Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Wiki hii huko huku Rombo TRA wamekua wakipita katika masoko kutokana na siku za masoko zilivyopangwa na wamekua wakikagua magari na pikipiki ambazo bado hazijalipiwa pamoja na leseni ambapo wamekua na gari pamoja na polis mmoja ambae amevalia vazi la kipolice pamoja na bunduki huku wenzake wa TRA wakiwa wamevalia kiraia na pindi wanapokamata pikipiki wamekua wakizitumia kuzunguka nazo kwaajili yakusaka pikipiki nyingine na pindi wanavyokamata huvamia mtu bila kujua ni watu gani kwavile hawajavalia mavazi rasmi na huwa hawajitambulishi kwanza ndipo wakague na baada yakuendelea na utaratibu huo kwa masoko kadhaa kwa wiki hii hapojana alipigwa mmoja wao na kujeruhi vibaya na kupelekwa hospital akiwa na hali mbaya na kuripotewa kupoteza maisha yake na police leo hii ndio wanajikusanya kutoka vituo tofauti ili kufuatilia suala hili.<br />
Yafaa TRA kutumia njia ambayo haimpi shaka mwenye mali kama kujitambulisha kabla ya kukagua. Mwenyekujua zaidi kuhusu suala hili atujuze.<br />
<br />
Nawakilisha
Yafaa TRA kutumia njia ambayo haimpi shaka mwenye mali kama kujitambulisha kabla ya kukagua. Mwenyekujua zaidi kuhusu suala hili atujuze.<br />
<br />
Nawakilisha