Imeripotiwa kwamba,polisi wa mgodi wa north mara wamewaua kwa kuwafyatulia risasi watu watano na kuwajeruh wengne kadhaa,habari zinasema watu hao ambao waliandamana kundi kubwa lipatalo watu kati ya 800 hadi elfu 1.lengo la watu hao ni kwamba walitaka kuiba mchanga unaosadikiwa una madini!
Source:radio 1
Source:radio 1