Mauaji ya kutisha mgodini

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Imeripotiwa kwamba,polisi wa mgodi wa north mara wamewaua kwa kuwafyatulia risasi watu watano na kuwajeruh wengne kadhaa,habari zinasema watu hao ambao waliandamana kundi kubwa lipatalo watu kati ya 800 hadi elfu 1.lengo la watu hao ni kwamba walitaka kuiba mchanga unaosadikiwa una madini!
Source:radio 1
 
Wanaoibiwa wamechoshwa na sasa wameanza kuamkamkuu...

hapo utaskia,polis watawatetea,maana kamanda wa polis wa mara maelezo yake yanajieleza tu,polis waliwaonya,lakin raia wamekaid amri.....
 
Back
Top Bottom