Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Hii imetokea muda huu hapa kigonsera wilayani mbinga.Baada ya mwanafunz mmoja wa kidato cha 3 ambaye alikuwa amesimamishwa masomo kutokana na kupata mimba, kujifungua peke yake polin then kumuua mtoto huo kwa kumdumbukiza ktk ndoo ya lita 20 iliyokuwa na maji kisha kuifunga ndoo hy kwa kifuniko.Baada ya unyama huo alibeba ndoo hyo na kuelekea makaburini ili azike peke yake.Hata hvyo zoez hlo lilishndikana baada ya raia kumkamata.
Chanzo:mimi mwenyewe nipo eneo la 2kio
Chanzo:mimi mwenyewe nipo eneo la 2kio