Mauaji ya HALAIKI OGADEN- Ethiopia

Haki ya kujitenga si kosa. Lakini hawa Wasomali wana ndoto ya kuunganisha maeneo yote wanayoishi Wasomali ikiwa pamoja na northern Kenya.
Umesahau vita ya shifta? Sasa hivi nina hakika Eritrea wana "regret" kujitenga na Ethiopia. Raia wake kila wakipata nafasi ya kutoroka nchi wanafanya hivyo kwa sababu Eritrea ni mojawapo ya failed states. Wangebaki pamoja na Ethiopia.

Achana na Propaganda, WAERITREA KAMWE HAWATAREGRET KUJITENGA NA ETHIOPIA. Ni tofauti ni Ethiopia ndio wanajiulaumu kuiachia Eritrea, na kwa hilo waethiopia wenyewe husema hawatamsamehe Melez Zinawi. Kinachowauma sana ni kukosa Bandari na kuigharimu nchi hiyo pesa nyingi kwa ushuru wa bandari.

WaEritrea walio nje kwa hiari yao wenyewe wanatoa kodi ya 2% ya pato lao kupeleka nchini kwao kwa ajili ya maendeleo ya nchi yao hususan katika ujenzi wa shule na hospitali. Nimekutana nao waetrea wenyewe wako so proud kwa kujitenga na ni nchi pekee iliyokataa misaada toka nje pamoja na umasikini walionao. Wasomi wengi huichukulia Eritrea kama mfano wa kuigwa, kama njia ya utatuzi halisi wa matatizo ya nchi za kiafrika kuondokana na utegemezi wa nchi tajiri.

Hizo unazozisema ni Propaganda za West, kwani kwa west kukataa msaada au kutokwenda kukopa fedha kwao ni kosa la jinai. Na Ethiopia WANAFANYA pROPAGANDA ILI WAPATE NJIA YA KUIVAMIA TENA Eritrea kwa ndoto ya kuichukua tena.

Huyu Dikiteta Melez anatumiwa tu na west kwa ajili ya geogrrfical strategic position nchi yake ilipo, baadae atatupwa kama Mabuto seseseko.
 
Hakuna kibaya anachokifanya Meles Zenawi. Kiukweli Wasomali ni tatizo popote pale walipo na njia nzuri ya kuondoa usumbufu wa Wasomali nikuwatokomeza wafutike kwenye uso wa dunia.

Wasomali hawafai kabisa maana hawawezi ishi na jamii nyingine kwa amani. Lazima sote tumpongeze Meles Zenawi kwa kazi nzuri anayoifanya ya kutokomeza hawa maharamia

kaka upeo wako ni mdogo si kila msomali ni mkorofi na wasomali hawezi ishi na jamii nyingine pia swala la kuwafuta katika hii dunia walitangulia ndugu zao wayahudi kutakiwa kufutwa ilishindikana kwa HITLER (wasomali na wayahudi biolojicaly ni sawa}

pia napenda kukufahamisha kuna taifa ambalo lilitawaliwa na waingereza
linaitwa SOMALILAND hawa wasomali wamefanya uchaguzi wa kidemocrasia kwa mara nne sasa pia wanajitawala vizuri amani iliopo pale hata Vatican hakuna tatizo ni jumuia ya kiamataifa wanashindwa kuwatambua
uchumi waoa ni mzuri biashara zianakwenada watu wanajenga nchi yao


 
kaka upeo wako ni mdogo si kila msomali ni mkorofi na wasomali hawezi ishi na jamii nyingine pia swala la kuwafuta katika hii dunia walitangulia ndugu zao wayahudi kutakiwa kufutwa ilishindikana kwa HITLER (wasomali na wayahudi biolojicaly ni sawa}

pia napenda kukufahamisha kuna taifa ambalo lilitawaliwa na waingereza
linaitwa SOMALILAND hawa wasomali wamefanya uchaguzi wa kidemocrasia kwa mara nne sasa pia wanajitawala vizuri amani iliopo pale hata Vatican hakuna tatizo ni jumuia ya kiamataifa wanashindwa kuwatambua
uchumi waoa ni mzuri biashara zianakwenada watu wanajenga nchi yao



Biology gani unayoisema "wasomali ni sawa na wayahudi"? Please revise genetics.
 
Je haki ya kutaka kujitenga ni kosa? Mbona South Sudan wamefanya hivyo hivyo na kusaidiwa na nchi kadhaa zikiwepo za Afrika mpaka ndoto yao imetimia.

Kwa hiyo unahalalisha mauaji ya halaiki yafanywayo na Ethiopia? Samahani bado sijaipata Point yako hapo, kama ni historia uko sawa lakini suala hapa ni mauaji ya halaiki.
ukifuatilia historia hata south sudan wanastahili kujitenga maana tangu waarabu walipoingia sudan hawajawahi kuwa kitu kimoja na waafrika wa kusini kumekuwa na vita endelevu kati yao hata baada ya kutawaliwa na uingereza.
 
Hili eneo linaloitwa Ogaden ilikuwa sehemu ya Somalia kama koloni la Italy na walikabidhiwa Ethiopia baada ya WW-I kama protectorate. Kumbuka, Ethiopia was never colonised. Baadae protectorate nyingine yalipewa uhuru wao lakini Ethiopia hawakutaka kuiachia Ogaden.
Nimekuwa kwenye eneo hili kikazi kwa zaidi ya miaka 5 sasa na naweza kusema hakuna kitu kama 'GENOCIDE' labda tuseme 'stalemate' kwani ONLF wana-control sehemu kubwa ya eneo hili.
Nitarudi kuelezea kwa kina siasa za eneo hili pamoja na suala la mafuta ambayo hivi sasa Wachina wako huko wanachimba.
 
Back
Top Bottom