LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Wadau nipo hapa ndani ya hospitali ya Mount Meru dakika hii na nikashuhudia Landrover ya police ikimteremsha marehemu na kwa kuwa bado nipo hapa bila shaka nitawajuza kichotokea na ni wapi yalikotokea mauaji haya ila kwa haraka tu nimepata hbr ya kwmb amevamiwa na majambazi.
Hapa nimemwona Kaimu kamanda wa polisi hapa Arusha Ali Mpwapwa amekuja hapa na bila shaka ni kuja kudhibitisha haya kama ni kweli na namwona ameingia humu ndani na amerudi ktk gari aina ya Landrover S/ Wagon aliyekuja naye na bila shaka ameshadhibitisha na ameshang'oa tayari na hata hii landrover iliyomleta marehemu inaondoka tayari.
Nitawajuza wadau!
Hapa nimemwona Kaimu kamanda wa polisi hapa Arusha Ali Mpwapwa amekuja hapa na bila shaka ni kuja kudhibitisha haya kama ni kweli na namwona ameingia humu ndani na amerudi ktk gari aina ya Landrover S/ Wagon aliyekuja naye na bila shaka ameshadhibitisha na ameshang'oa tayari na hata hii landrover iliyomleta marehemu inaondoka tayari.
Nitawajuza wadau!