Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,916
- 11,249
Dah umenikumbusha definition ya democracy"Democracy is the government of the people, by the people and for the people"
Dah umenikumbusha definition ya democracy"Democracy is the government of the people, by the people and for the people"
Hahaaa huyo Abraham Lincoln ndio ali define democracy kwa style hiyo.Dah umenikumbusha definition ya democracy
uko sawa Huko Drixie ndiko watu weusi walipofikia na utumwa ulikuwa mkubwa. John Wilkes Booth alikuwaNorth wakati civil war inaanza. Ndio maana nilidhani north pia walikuwa hawataki watu weusi, Kumbe huyu jamaa huko north alikuwa mamluki na shushushu.Ni kusini ndio waliokua wanangangania utumwa uendelee na sio kaskazini,kwani wao kusini alikuwa walima pamba na walikua na watumwa wengi so wakaona liwalo na liwe bora wajitenge kuliko kuwaachia watumwa ndo hapo vita ikaanza japo Lincoln hakutaka vita na kusini.
Ndio mkuu definition yake ndo inayotumika kote.Hahaaa huyo Abraham Lincoln ndio ali define democracy kwa style hiyo.
Ni kweli mkuu,nilijua tu ulighafilika kwa kuwa story ya hiyo vita unaifahamu so nikaona nikushtue tu kusudi mwingine ambaye aingeifahamu habari hiyo kutoka hapa asije kuielewa tofauti,tuko pamoja mkuu.uko sawa Huko Drixie ndiko watu weusi walipofikia na utumwa ulikuwa mkubwa. John Wilkes Booth alikuwaNorth wakati civil war inaanza. Ndio maana nilidhani north pia walikuwa hawataki watu weusi, Kumbe huyu jamaa huko north alikuwa mamluki na shushushu.
Rudi kwenye klu klax Klan hili likikuwa kundi baya sanaNilishafika kwenye Museams ya Lincolini , wanasema aliuwawa wakati akiwa theatre anaangalia movie kuna KKK mmoja ndo alimshoot Linc akiwa kwenye stage anaangalia akamshoot but inaonyesha ilikuwa ni inside mission
ZilikuwepoKwani enzi hizo kulikuwaga na pisto?
Napenda na wimbo unaitwa AMERICAN TRILOGY by Elvis presley Kipindi hiki kilikuwa sio utumwa, bali ni ubaguzi wa hali iliyotukuka. Hadi jamaa aliyetunga wimbo huo anatamani DRIXIELAND mahali walipofikia wakitolewa afrika, Lakin baada ya kumalizwa utumwa 244 baadae wanakumbana na dhahama kubwa kuliko kawaida, Hao Northerners na wazungu wahamiaji wenzao wakaonekana kuwa ni wabaguzi wa kutupwa. Kwa black american hasa wakristo huu wimbo unamaana sana.Ni kweli mkuu,nilijua tu ulighafilika kwa kuwa story ya hiyo vita unaifahamu so nikaona nikushtue tu kusudi mwingine ambaye aingeifahamu habari hiyo kutoka hapa asije kuielewa tofauti,tuko pamoja mkuu.
Napenda na wimbo unaitwa AMERICAN TRILOGY by Elvis presley Kipindi hiki kilikuwa sio utumwa, bali ni ubaguzi wa hali iliyotukuka. Hadi jamaa aliyetunga wimbo huo anatamani DRIXIELAND mahali walipofikia wakitolewa afrika, Lakin baada ya kumalizwa utumwa miaka mia baadae wanakumbana na dhahama kubwa kuliko kawaida, Hao Northerners na wazungu wahamiaji wenzao wakaonekana kuwa ni wabaguzi wa kutupwa. Kwa black american hasa wakristo huu wimbo unamaana sana.
Drixieland == The southern provinces
yes elvis presley miaka hiyo ya 60/70 alikuwa kama diamond wao. ndie alieupa umaarufu huu wimbo ila kweli sio mtunzi.Mkuu unajua wimbo wa Dixie mtu wa kwanza kuuandika alikuwa Albert Pike?
yes elvis presley miaka hiyo ya 60/70 alikuwa kama diamond wao. ndie alieupa umaarufu huu wimbo ila kweli sio mtunzi.
Kama ulivorogwa ww kuongea utumboNyie waongo,huyu hakuuawa alirogwa.
hapo ndipo meli la kwanza lilitua 1619 likibeba wananzengo na wababe kutoka moyoni mwa afrika ili wakalimie wazungu pamba . hapo mtu mweusi alikuwa ni kifaa cha kutumiwa sio mwanadamu wa kuheshimiwa. ni aibu sana hadi miaka hii kuona mtu mweusi anakuwa kibaraka.Sasa hebu fikiria huu ndiyo ulikuwa wimbo wa taifa wa Confederate states.
teh teeh teh teh Yankees wamepinda
Mkuu @MALCOM,MSEZA wimbo ulikuwa unazungumzia nini kwa ufupi? Nitoeni uvulivuli kidogo maana naona nao kama ulikuwa na ngvu yake.