SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
CCM mumeshaanza umafia wenu tena.CCM ni wauaji, bado tunakumbuka kuwa ni CCM waliomuua Chacha Wangwe ili waipakazie CDM wakashindwa, sasa wakimuua huyu Nyakarungu wajue moto utawaka Kaskazini, Mashariki, Kusini na Magharibi, kifupi nchi hii haitawalika tena .